Uchaguzi 2020 Ni maelekezo gani mgombea Urais kapokea kutoka nchi za nje?

Nani amekuambia jaribio la kuua unafungua Wewe mashitaka? Hata ccm waliompiga Lisu risasi watakapo kamatwa, watashitakiwa na jamuhuri, siyo Lisu!
Kuanzia Muhimbili ingekua ujinga, wangemmalizia, leo tungepata wapi Mtu wa kuwatia jambamba?
Sheria hiyo Kwanini haikumgusa Mukono, ambaye amekua mgonjwa kwa miaka yote mitano?
Hilo la mafao ni urushi wa watu wawili wasimamizi wa mihimili, ila haki ya Mtu haipotei mtaitoa tu!
 
Wanahofu sana,
Mwaka huu wameshikwa nyeti, zinaumaaaa!!

Hakuna ukombozi pasipo damu, bible say

Damu ya Lissu haikumwagika bure.
Soma biblia kitabu cha kutoka, kumb ya torati na Injiri zote.

Ili iote lazima ife, mbegu zote za kupandwa, lazima zife ndipo ziote.

Lussu alikufa, hakuna aliyeamini kuwa atapona.

NI UKOMBOZI
 
Msiwape kura,wazalendo maslahi binafsi.wanaovaa uzalendo usio halisi kwa kwa kutumia kichaka Cha uzalendo tuaaogope zaidi ya shetani.
 
Wameana hata kutumia mbeleko za mifumo yao haramu waliyoitengeneza kupitia kichaka Cha uzalendo.(kwao sii uzalendo halisi Bali uzalendo maslahi ya wachache)
 
Hayo ndiyo yatakayowaondoa mwaka huu, nanyi mnajua kuwa mwaka huu mnang,'oka ndy maana kelele nyingiiij
 
Sasa nimetambua kuwa serikali hii siyo ya kulaumiwa kwa kumpiga risasi Lissu.
Ulikuwa mpango wa Mungu ili Mungu apate pa kusimama kutukomboa
Hata waliouawa na kupotezwa damu zao zitaleta ukombozi,pamoja na Akwirina
Ben,Mawaz, Azory nk.Rip

Je kama Yuda iskariote asingemsaliti Yesu ukombozi ungefanyika?

Je Yuda anastahili lawama?

HAKUNA UKOMBOZI PASIPO DAMU
 
Kumbe bado hamwelewi kama aliyeatempt ni mbow kulinda nafasi yake.
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama

Kwa nn hamjamkamata mbowe?
 
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama

Kwa nn hamjamkamata mbowe?
Muulize Mbowe kwanini hajakamatwa.?
Mengine ambayo hakukamatwa
- Chacha Wangwe
- Mwenyekiti wa Temeke
- Tundu Lissu
N.k
 
Huo utoro Ni dabo standard tu mbona Mkono ajavuliwa ubunge, ndugai alipoenda India alitokea muhimbili?
wana taarifa rasmi hao ndugu unapoteza muda tu kufikiria hebu fikiria ya familia yako kwanza maana imelelia dagg wa kuchemsha bila mafuta leo wasilale njaa
 
Unataraji Seneta Sherman ampe maelekezo gani zaidi ya kuhrshimu haki na uhuru wa individuals kufanya au kufanyiwa chochote anachotaka ilimradi ameridhia?
 
Yaani ukiniambia Tanzania tuna usalama wa taifa tiss nacheka Sana mgonjwa wa milembe bipolar disorder na faili lipo Bugando anapewa nchi na tiss wapo ? Na wanajua ? Tiss vichekesho ?
 
Nakubaliana na ww

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Nna swali kuhusu number 1,
Kufungua kesi kivipi mkuu,
Attempt murder kama ile inahitaji mtu kwenda kufungua kesi?
 
NAMNA PEKEE YA CCM KUKWEPA LISU ASIPEWE IKULU NI KUKUBALI CHAMA CHA KATI KUSHINDA UCHAGUZI!!YAANI WAANDAE CHAMA MBADALA AMBACHO CHENYE MLENGO WA KATI!!NADHANI MEMBE ATAFAA NA ACT YAKE NA KULE ZANZIBAR TADEA AU KINGINE KITAFAA SANA!!
Shit
 
Lissu ana mmaliza kabisa Polepole maana hata haangaiki kumjibu pumba zake.
 
Ni wapuuzi na waropokaji
 
Utopolo mtupu
 
Muulize Mbowe kwanini hajakamatwa.?
Mengine ambayo hakukamatwa
- Chacha Wangwe
- Mwenyekiti wa Temeke
- Tundu Lissu
N.k
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama. Km huamini muulize nape, kinana, mangula, membe na kinana watakupa story wewe buku 7 wa juzi juzi huijui ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…