Ni maendeleo gani Makonda aliyoyafanya akiwa mkuu wa mkoa wa DSM?

Ni maendeleo gani Makonda aliyoyafanya akiwa mkuu wa mkoa wa DSM?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2023
Posts
1,483
Reaction score
2,392
Wadau nawasalimu.

Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.

Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.

Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.

Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?

Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?

Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
 
Nenda tandale uzuri na fisi ukaone mitaa ilivyo kwa sasa
Siyo kazi ya Makonda wala Magufuli. Huo ni mradi wa DMDP 1 iliyosainiwa mwaka 2012 kati ya Serikali ya Tanzania na IDA (World Bank Institution). Kazi za kutengeneza barabara za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kuwezesha barabara na mitaro ya kuondosha maji wakati wa mvua kubwa.

Ni ubunifu wa Waziri Tubaijuka chini ya Raisi Jakaya Kikwette.

Hata kama wewe KANYAMA ambaye ni mburura ungekuwa ni Mkuu wa Mkoa kipindi hicho, hakuna namna ungezuia baarabara za Tandale zisijengwe. Acheni kuwapa watu sifa wasizostahili
 
Siyo kazi ya Makonda wala Magufuli. Huo ni mradi wa DMDP 1 iliyosainiwa mwaka 2012 kati ya Serikali ya Tanzania na IDA (World Bank Institution). Kazi za kutengeneza barabara za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kuwezesha barabara na mitaro ya kuondosha maji wakati wa mvua kubwa.

Ni ubunifu wa Waziri Tubaijuka chini ya Raisi Jakaya Kikwette.

Hata kama wewe KANYAMA ambaye ni mburura ungekuwa ni Mkuu wa Mkoa kipindi hicho, hakuna namna ungezuia baarabara za Tandale zisijengwe. Acheni kuwapa watu sifa wasizostahili
Sasa kwanini hiyo miradi kwa Sasa inasuasua?
 
Kwani cheo chake kikatiba kinamtaka afanye maendeleo gani?
Tuanzie hapo. Maana mimi nilikuwa naona anatoa matamko zaidi, na sidhani kama maono yake yamewahi kutekelezeka. Ikiwemo lile la Gereji kuhamia Kigamboni.

Wanaomfahamu zaidi wanaweza kutujuza.
 
Wadau nawasalimu.

Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.

Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.

Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.

Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?

Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?

Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Kwa mkoa wa dar alizingua sana kuja kuleta visheria vyake kutokunywa pombe asubui mpaka jioni hapa alizingua sana hii sheria inatutesa mpaka leo
 
Wadau nawasalimu.

Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.

Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.

Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.

Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?

Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?

Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Maendeleo ya kuteka watu
 
Kwani cheo chake kikatiba kinamtaka afanye maendeleo gani?
Tuanzie hapo. Maana mimi nilikuwa naona anatoa matamko zaidi, na sidhani kama maono yake yamewahi kutekelezeka. Ikiwemo lile la Gereji kuhamia Kigamboni.

Wanaomfahamu zaidi wanaweza kutujuza.
Huu uzi ulitakiwa kuishia hapa.

Watu wanafikiri kila aliyepo machinjioni ni mchinja ng'ombe.
 
Usisikilize sana kelele za chawa.Hao ni wapiga kelele tu.
 
Kwani cheo chake kikatiba kinamtaka afanye maendeleo gani?
Tuanzie hapo. Maana mimi nilikuwa naona anatoa matamko zaidi, na sidhani kama maono yake yamewahi kutekelezeka. Ikiwemo lile la Gereji kuhamia Kigamboni.

Wanaomfahamu zaidi wanaweza kutujuza.
Mti wangu, wenye mabusha, wachafu wasije Dar, waliotelekeza wake zao sijui hiyo miradi ina hali gani mpaka sasa.
 
arusha sio chafu kama unavyo elezea hapa, uchafu unatolewa every weekend, labda kama mtaa weny haufikiwi na hiyo huduma
 
Back
Top Bottom