Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Wadau nawasalimu.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.