Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kamuulize SamiaSasa kwanini hiyo miradi kwa Sasa inasuasua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize SamiaSasa kwanini hiyo miradi kwa Sasa inasuasua?
Makonda anakuja kujihakikishia tu mkate wake wa kila siku lkn hana cha kuongeza hapa ArushaNa changamoto tuliyonayo Arusha ni suala la usafi Arusha ni chafu
Alijadai kupambana na ombaomba eti atahakikisha anawaondoa jijini na kuwaridisha makwao lkn mwisho wa siku akadondokea pua.Kwa mkoa wa dar alizingua sana kuja kuleta visheria vyake kutokunywa pombe asubui mpaka jioni hapa alizingua sana hii sheria inatutesa mpaka leo
Umeonaeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maendeleo ya kuteka watu
Nakuunga mkonoAliacha gundu tu
be informed,arusha sio chafu kama unavyo elezea hapa, uchafu unatolewa every weekend, labda kama mtaa weny haufikiwi na hiyo huduma
Swali zuri sana hili mkuuKwani cheo chake kikatiba kinamtaka afanye maendeleo gani?
Tuanzie hapo. Maana mimi nilikuwa naona anatoa matamko zaidi, na sidhani kama maono yake yamewahi kutekelezeka. Ikiwemo lile la Gereji kuhamia Kigamboni.
Wanaomfahamu zaidi wanaweza kutujuza.
Hakuna mradi unaosuasua. DMDP 1 ilikwisha mwaka 2022 na DMDP 2 ilisainiwa mwaka jana. Ujenzi unategemea kuanza maeneo mbalimbali mwezi huu wa April 2024..Sasa kwanini hiyo miradi kwa Sasa inasuasua?
DMDP 1 imeishia pale fedha ya makaba na malengo ya huo mradi yalipolenga. Stay tuned for DMDP 2 to start soonHiyo DMP1 imeishia wapi mbona hatuoni maboresho tena
Maendeleo ya kuteka, kutesa na kuua watuWadau nawasalimu.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
kwa upande wangu mkazi wa kigogo kuna kituo cha afya kinachofanya upasuaji, na ni kikubwa chenye huduma zote muhimu. fika ujionee. nakumbuka watu waliomba tutoke kwenye zahanati kwani uhitaji ni mkubwa. na akatimiza maombi.Wadau nawasalimu.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Hizo pesa zilikuwepo hata kabla ya makonda..tatizo usimamizi..uwepo wa makonda dar ndio ulileta matokeo chanya ya usimamizi wa hizo fedha..Akili zetu Hizi sasa, hujui ile ni program maalum ya kuboresha barabara za mitaa?? Sio pesa ya MTU wala sio ya CCM.hi
Yule ZEROBRAIN anachoweza ni KUROPOKA tuKwani cheo chake kikatiba kinamtaka afanye maendeleo gani?
Tuanzie hapo. Maana mimi nilikuwa naona anatoa matamko zaidi, na sidhani kama maono yake yamewahi kutekelezeka. Ikiwemo lile la Gereji kuhamia Kigamboni.
Wanaomfahamu zaidi wanaweza kutujuza.
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
Hao chumia tumbo walikuwa tayari kupotosha umma ili wampambe sukuma gang mwenzao
| Manispaa | Bajeti kwa Mwaka 2016/17 (Sh.) | Kazi zitakazoanza kutekelezwa |
| Temeke | 72,804,468,467.00 |
|
| Ilala | 43,242,117,826.00 |
|
| Kinondoni | 63,938,175,211.00 |
|
Hizo pesa zilikuwepo hata kabla ya makonda..tatizo usimamizi..uwepo wa makonda dar ndio ulileta matokeo chanya ya usimamizi wa hizo fedha..