Ni maendeleo gani Makonda aliyoyafanya akiwa mkuu wa mkoa wa DSM?

Ni maendeleo gani Makonda aliyoyafanya akiwa mkuu wa mkoa wa DSM?

Kukamata mashoga na wauza madawa ya kulevya.
 
Hata mimi hili swali nilishawahi kuliuliza mara kibao ila sijawahi kupata jibu. Tatizo propaganda zilikuwa ni nyingi kukiko uhalisia!
 
Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.

Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.

Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo na Bajaj. Atasimamia route ziwe za haki. Mfano sombetini hamna city transport WANAFUNZI wanateseka sana

Atasimamia usafi wa mji kwakuwa huu ni mji wa kitalii.

Atasimamia tourism industry na hospitality industry na kuhakikisha anasimamia na kutatua kero zinazoikanili hizo sekta kwa kuwa kiungo muhimu baina Yao na serikali kwa MAANA ya wizara ya Mali asili.

Atasimamia madc wazembe ambao wanalinda uzembe na kukandamiza watu na kuwaonea. Masc ambao Wana mis lead na ku mis inform serikali. Yupo DC mmoja ambae bado HAJUI yeye kwa Sasa ni DC na sio afsa tarafa. Amewekeza nguvu nyingi kupambana na mbunge wake badala ya kusikiliza na kutendea haki kero za wananchi na kuisimamia miradi ya serikali.
 
Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.

Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.

Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo na Bajaj. Atasimamia route ziwe za haki. Mfano sombetini hamna city transport WANAFUNZI wanateseka sana

Atasimamia usafi wa mji kwakuwa huu ni mji wa kitalii.

Atasimamia tourism industry na hospitality industry na kuhakikisha anasimamia na kutatua kero zinazoikanili hizo sekta kwa kuwa kiungo muhimu baina Yao na serikali kwa MAANA ya wizara ya Mali asili.

Atasimamia madc wazembe ambao wanalinda uzembe na kukandamiza watu na kuwaonea. Masc ambao Wana mis lead na ku mis inform serikali. Yupo DC mmoja ambae bado HAJUI yeye kwa Sasa ni DC na sio afsa tarafa. Amewekeza nguvu nyingi kupambana na mbunge wake badala ya kusikiliza na kutendea haki kero za wananchi na kuisimamia miradi ya serikali.
Tulia hivyo hivyo ndo utamsoma mwanenu kuwa hana jipya
 
Siyo kazi ya Makonda wala Magufuli. Huo ni mradi wa DMDP 1 iliyosainiwa mwaka 2012 kati ya Serikali ya Tanzania na IDA (World Bank Institution). Kazi za kutengeneza barabara za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kuwezesha barabara na mitaro ya kuondosha maji wakati wa mvua kubwa.

Ni ubunifu wa Waziri Tubaijuka chini ya Raisi Jakaya Kikwette.

Hata kama wewe KANYAMA ambaye ni mburura ungekuwa ni Mkuu wa Mkoa kipindi hicho, hakuna namna ungezuia baarabara za Tandale zisijengwe. Acheni kuwapa watu sifa wasizostahili

Hiyo DMP1 imeishia wapi mbona hatuoni maboresho tena
 
Wadau nawasalimu.

Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.

Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.

Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.

Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?

Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?

Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Kuipandisha KMC kucheza ligi kuu.
 
Makonda ni mpiga kelele na mtafuta sifa kwa wajinga. Kiutendaji ni zero.

Amebobea kwenye uovu.
 
Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.

Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.

Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo na Bajaj. Atasimamia route ziwe za haki. Mfano sombetini hamna city transport WANAFUNZI wanateseka sana

Atasimamia usafi wa mji kwakuwa huu ni mji wa kitalii.

Atasimamia tourism industry na hospitality industry na kuhakikisha anasimamia na kutatua kero zinazoikanili hizo sekta kwa kuwa kiungo muhimu baina Yao na serikali kwa MAANA ya wizara ya Mali asili.

Atasimamia madc wazembe ambao wanalinda uzembe na kukandamiza watu na kuwaonea. Masc ambao Wana mis lead na ku mis inform serikali. Yupo DC mmoja ambae bado HAJUI yeye kwa Sasa ni DC na sio afsa tarafa. Amewekeza nguvu nyingi kupambana na mbunge wake badala ya kusikiliza na kutendea haki kero za wananchi na kuisimamia miradi ya serikali.

Unasubiria embe chini ya mchongoma. Yaani mdhulumaji mkuu, aliyefikia hatua ya kudhumu mpaka haki za watu za kuishi, ndiyo aje akuondolee dhuluma?
 
Wadau nawasalimu.

Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.

Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.

Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.

Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?

Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?

Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Muulize rais Samia atakwambia,watu kapuku kama nyie mtaji wenu ni majungu tu,kalaghabaho
 
Mkuu wa mkoa ama wilaya ni chawa wa rais. Tokea lini chawa akafanya maendeleo.
 
Kwani cheo chake kikatiba kinamtaka afanye maendeleo gani?
Tuanzie hapo. Maana mimi nilikuwa naona anatoa matamko zaidi, na sidhani kama maono yake yamewahi kutekelezeka. Ikiwemo lile la Gereji kuhamia Kigamboni.

Wanaomfahamu zaidi wanaweza kutujuza.
Kazi za mkuu wa mkoa ktk mkoa wake nini? Tumia akili hata za kuazima
 
Wadau nawasalimu.

Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.

Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.

Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.

Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?

Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?

Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Ninavyojua ikiletwa miradi ya serikali ndani ya mkoa wake akisimamia vizuri ni maendeleo pia atakuwa nayafanya, maadamu kupewa kijiti ngoja tuangalie anaenda kufanya nini.
 
Wadau nawasalimu.

Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.

Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.

Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.

Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?

Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?

Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Hajawahi kuleta maendeleo zaidi ya kuidumaza dsm
 
Siyo kazi ya Makonda wala Magufuli. Huo ni mradi wa DMDP 1 iliyosainiwa mwaka 2012 kati ya Serikali ya Tanzania na IDA (World Bank Institution). Kazi za kutengeneza barabara za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kuwezesha barabara na mitaro ya kuondosha maji wakati wa mvua kubwa.

Ni ubunifu wa Waziri Tubaijuka chini ya Raisi Jakaya Kikwette.

Hata kama wewe KANYAMA ambaye ni mburura ungekuwa ni Mkuu wa Mkoa kipindi hicho, hakuna namna ungezuia baarabara za Tandale zisijengwe. Acheni kuwapa watu sifa wasizostahili
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri.

Hao chumia tumbo walikuwa tayari kupotosha umma ili wampambe sukuma gang mwenzao
 
Back
Top Bottom