Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia hivyo hivyo ndo utamsoma mwanenu kuwa hana jipyaNina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.
Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.
Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo na Bajaj. Atasimamia route ziwe za haki. Mfano sombetini hamna city transport WANAFUNZI wanateseka sana
Atasimamia usafi wa mji kwakuwa huu ni mji wa kitalii.
Atasimamia tourism industry na hospitality industry na kuhakikisha anasimamia na kutatua kero zinazoikanili hizo sekta kwa kuwa kiungo muhimu baina Yao na serikali kwa MAANA ya wizara ya Mali asili.
Atasimamia madc wazembe ambao wanalinda uzembe na kukandamiza watu na kuwaonea. Masc ambao Wana mis lead na ku mis inform serikali. Yupo DC mmoja ambae bado HAJUI yeye kwa Sasa ni DC na sio afsa tarafa. Amewekeza nguvu nyingi kupambana na mbunge wake badala ya kusikiliza na kutendea haki kero za wananchi na kuisimamia miradi ya serikali.
Siyo kazi ya Makonda wala Magufuli. Huo ni mradi wa DMDP 1 iliyosainiwa mwaka 2012 kati ya Serikali ya Tanzania na IDA (World Bank Institution). Kazi za kutengeneza barabara za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kuwezesha barabara na mitaro ya kuondosha maji wakati wa mvua kubwa.
Ni ubunifu wa Waziri Tubaijuka chini ya Raisi Jakaya Kikwette.
Hata kama wewe KANYAMA ambaye ni mburura ungekuwa ni Mkuu wa Mkoa kipindi hicho, hakuna namna ungezuia baarabara za Tandale zisijengwe. Acheni kuwapa watu sifa wasizostahili
Kuipandisha KMC kucheza ligi kuu.Wadau nawasalimu.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Alitumwa amchafue lowasaAlimsaidia mtoto wa Lowassa aliyetekelezwa kupata haki zake.
uyo ni yeye au meko ndio katenda huo ukuu nchi nzimaNenda tandale uzuri na fisi ukaone mitaa ilivyo kwa sasa
Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.
Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.
Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo na Bajaj. Atasimamia route ziwe za haki. Mfano sombetini hamna city transport WANAFUNZI wanateseka sana
Atasimamia usafi wa mji kwakuwa huu ni mji wa kitalii.
Atasimamia tourism industry na hospitality industry na kuhakikisha anasimamia na kutatua kero zinazoikanili hizo sekta kwa kuwa kiungo muhimu baina Yao na serikali kwa MAANA ya wizara ya Mali asili.
Atasimamia madc wazembe ambao wanalinda uzembe na kukandamiza watu na kuwaonea. Masc ambao Wana mis lead na ku mis inform serikali. Yupo DC mmoja ambae bado HAJUI yeye kwa Sasa ni DC na sio afsa tarafa. Amewekeza nguvu nyingi kupambana na mbunge wake badala ya kusikiliza na kutendea haki kero za wananchi na kuisimamia miradi ya serikali.
Muulize rais Samia atakwambia,watu kapuku kama nyie mtaji wenu ni majungu tu,kalaghabahoWadau nawasalimu.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Kazi za mkuu wa mkoa ktk mkoa wake nini? Tumia akili hata za kuazimaKwani cheo chake kikatiba kinamtaka afanye maendeleo gani?
Tuanzie hapo. Maana mimi nilikuwa naona anatoa matamko zaidi, na sidhani kama maono yake yamewahi kutekelezeka. Ikiwemo lile la Gereji kuhamia Kigamboni.
Wanaomfahamu zaidi wanaweza kutujuza.
Ninavyojua ikiletwa miradi ya serikali ndani ya mkoa wake akisimamia vizuri ni maendeleo pia atakuwa nayafanya, maadamu kupewa kijiti ngoja tuangalie anaenda kufanya nini.Wadau nawasalimu.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Hajawahi kuleta maendeleo zaidi ya kuidumaza dsmWadau nawasalimu.
Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI.
Matarajio hayo sijui msingi wake ni nini kwa hao Wananchi au ni Ushabiki na Uchawa wa wananchi ambao ni kama Ugonjwa kwani Umeenea kwa kasi kwa Miongoni mwa Watu.
Maswali ya kujiuliza ni pamoja na Bw. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa Miaka 5 na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa Miaka 2.
Je, ni MAENDELEO gani aliyoyafanya ktk WILAYA ya Kinondoni?
Je, ni MAENDELEO gani yanayoonekana mpaka leo aliyoyafanya Mkoa wa DSM?
Ni vema tukaorodhesha kwanza MAENDELEO aliyoyafanya akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa kabla ya kuwa na Matumaini ambayo hatuna uhakika nao.
Wachakudanganya watu,Makonda hajawahi kufanikiwa Jambo lolote la maendeleoNenda tandale uzuri na fisi ukaone mitaa ilivyo kwa sasa
Hiyo haikuwa ni Idea ya MakondaKila jumamosi usafi ulifanyika mitaa, masoko na maeneo ya makazi, biashara yalipendeza sana.
Hao ni watumwa wa lumumbaAkili zetu Hizi sasa, hujui ile ni program maalum ya kuboresha barabara za mitaa?? Sio pesa ya MTU wala sio ya CCM.
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri.Siyo kazi ya Makonda wala Magufuli. Huo ni mradi wa DMDP 1 iliyosainiwa mwaka 2012 kati ya Serikali ya Tanzania na IDA (World Bank Institution). Kazi za kutengeneza barabara za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kuwezesha barabara na mitaro ya kuondosha maji wakati wa mvua kubwa.
Ni ubunifu wa Waziri Tubaijuka chini ya Raisi Jakaya Kikwette.
Hata kama wewe KANYAMA ambaye ni mburura ungekuwa ni Mkuu wa Mkoa kipindi hicho, hakuna namna ungezuia baarabara za Tandale zisijengwe. Acheni kuwapa watu sifa wasizostahili