To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kabisa,naona akapimwe si bureMkuu unahitaji tiba ya akili yako haraka. Seriously!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa,naona akapimwe si bureMkuu unahitaji tiba ya akili yako haraka. Seriously!
Tafuta video Makonda akizungumza kuhusu dereva tapeli.Mkuu unahitaji tiba ya akili yako haraka. Seriously!
Unfortunately bado Makonda Kuna mambo hujayagusa. Yaguse. Pia wananchi wanazuiwa kusikilizwa kero zao katika ofisi Yako. Jopo la wasaidizi wako kalinoe, yule kijana Allan amezidiwa. Infact Kuna upendeleo mkubwa sana, kiongozi wa CCM akifanya unyamela anatetewa live mbele ya wananchi. Kuna siku nilikuwa hapo nilishangaa sana. Yule mkuu wa itifaki alitushangaza wananchi kwa upendeleo wa dhati kwa mwanachama flan wa CCM ambae amesumbia watu wengi sana hapa Arusha kwa kujificha ndani ya chama, yule dada anamkingia kifua...Soo sad.Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.
Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.
Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo na Bajaj. Atasimamia route ziwe za haki. Mfano sombetini hamna city transport WANAFUNZI wanateseka sana
Atasimamia usafi wa mji kwakuwa huu ni mji wa kitalii.
Atasimamia tourism industry na hospitality industry na kuhakikisha anasimamia na kutatua kero zinazoikanili hizo sekta kwa kuwa kiungo muhimu baina Yao na serikali kwa MAANA ya wizara ya Mali asili.
Atasimamia madc wazembe ambao wanalinda uzembe na kukandamiza watu na kuwaonea. Masc ambao Wana mis lead na ku mis inform serikali. Yupo DC mmoja ambae bado HAJUI yeye kwa Sasa ni DC na sio afsa tarafa. Amewekeza nguvu nyingi kupambana na mbunge wake badala ya kusikiliza na kutendea haki kero za wananchi na kuisimamia miradi ya serikali.
Zaidi ya kuua watu hamna kituSiyo kazi ya Makonda wala Magufuli. Huo ni mradi wa DMDP 1 iliyosainiwa mwaka 2012 kati ya Serikali ya Tanzania na IDA (World Bank Institution). Kazi za kutengeneza barabara za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kuwezesha barabara na mitaro ya kuondosha maji wakati wa mvua kubwa.
Ni ubunifu wa Waziri Tubaijuka chini ya Raisi Jakaya Kikwette.
Hata kama wewe KANYAMA ambaye ni mburura ungekuwa ni Mkuu wa Mkoa kipindi hicho, hakuna namna ungezuia baarabara za Tandale zisijengwe. Acheni kuwapa watu sifa wasizostahili
Sasa almashauri na watu walilipa kodi kazi yake ni niniNenda tandale uzuri na fisi ukaone mitaa ilivyo kwa sasa
Hiyo ilikua ni agizo la JPM. Ilikua ni Tanzania nzima usafi unafanyika.Kila jumamosi usafi ulifanyika mitaa, masoko na maeneo ya makazi, biashara yalipendeza sana.
Sheria za kise** se* iliyoletwa na was333nge s33nge kuona watu wakilewa wana enjoy use33nge god damnnnn akae huko huko arusha mshamba mmoja mwenye kithetheKwa mkoa wa dar alizingua sana kuja kuleta visheria vyake kutokunywa pombe asubui mpaka jioni hapa alizingua sana hii sheria inatutesa mpaka leo