LamborghiniTufanye ndio umetoboa maisha tobotobo una mawe sana, ni gari gani nne uta-Prefer kununua unazozikubali.
Mimi ni hizi
1) BMW X6
2) Range Rover Vorgue
3) Landrover Discover 4
4) Ford Ranger
Zote New Model.
Halafu wewe, muone kwanzaππAbee!! Mdogo wangu hebu taja yako nikuige. π
Mana dada yako nipo nyuma huwa nayajua vitz na passo tu. π
[emoji23]Kwamba mkuu dream car yako ni vits..
Maana hapa tunaongelea dreams sio mkwanja tulionao mfukoni[emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38]Abee!! Mdogo wangu hebu taja yako nikuige. [emoji28]
Mana dada yako nipo nyuma huwa nayajua vitz na passo tu. [emoji85]
UtaiachaJe Toyota gari ambayo spare parts zake zinapatikana mpaka chooni ?! Hayo mengine unayoyapenda spare parts mpaka za kuagiza !!Tufanye ndio umetoboa maisha tobotobo una mawe sana, ni gari gani nne uta-Prefer kununua unazozikubali.
Mimi ni hizi
1) BMW X6
2) Range Rover Vorgue
3) Landrover Discover 4
4) Ford Ranger
Zote New Model.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui magari sina uzoefu nayo ila natamani Yale magari yanafunuka juu yaan nikiliona lazma nisimame kwanza mbka lipite ndo niendelee na mambo yangu.
Najua yapo ya aina io mengi ila mi kama linafunuka juu tuu basi linanifaa.
Kwa wedding yangu nadhan nitatumia hilo nitadrive mwenyewe mister atakaa pembeni.
Mdogo wangu mwenzetu huyu. Ye anataka linalofunuka juu. π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usijali Mdogo unajua tena maisha yenyewe ndio haya haya wacha tu hata tuendeshe magari kwa macho tu. π[emoji38][emoji38][emoji38]
Nimeona nikutag dada mambo yako
Usipitwe, yangu ya kawaida tuu tuchukue tu madini kutoka kwa wadau
Nishakuchua BMW i8 na G63 Mercedes Benz tafuta na Wewe useme lipi mana Mpk pich wanatuma [emoji1787][emoji1787]
Usijali Mdogo unajua tena maisha yenyewe ndio haya haya wacha tu hata tuendeshe magari kwa macho tu. [emoji23]
Kuna Mpicha umerushwa hapo juu ngoja nikaone ule mgari unaitwaje nadhano utanifaa. Teh.
Mdogo wangu mwenzetu huyu. Ye anataka linalofunuka juu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ewaaaa. Hapo sawa Mdogo wangu hebu corona ipite tufanye mchakato aisee mana tusiishie kuyasikia tu haya magari tuanze hata na ya bei ya kawaida haya mengine yatafuata ππ. Tutaendesha Zam zam kama usemavyo. π€£Hello No Dada tujipinde ata tukope liwe letu
Tuwe tunaendesha kwa zamu zamu [emoji38][emoji38][emoji38]
Ila uko vizuri bana. Mi yale naishiaga kuyaona kwenye TV tu na nayaitaga hivyo hivyo magari ya kufunuka kumbe yana jina lake. Lol πππ[emoji38][emoji38][emoji38]Yanaitwa Convertible nadhani
Ewaaaa. Hapo sawa Mdogo wangu hebu corona ipite tufanye mchakato aisee mana tusiishie kuyasikia tu haya magari tuanze hata na ya bei ya kawaida haya mengine yatafuata [emoji3][emoji3]. Tutaendesha Zam zam kama usemavyo. [emoji1787] Ila uko vizuri bana. Mi yale naishiaga kuyaona kwenye TV tu na nayaitaga hivyo hivyo magari ya kufunuka kumbe yana jina lake. Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Ako ako tu kastarlet kanafaa kabisaa.Uliposema Ewaaaa umenip Bichwa nimejiona Nina miakili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki ya Nani ata ule tu-starlet tudogo dogo twa million hizo[emoji111] inafaa Alaf tunafunga bonge la Mziki [emoji38]
.
Sister bhana Naam kuyajua tuu niko vizuri kweli [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Siunaona Chuma hapo Avatar imetulia yakuitwa LC ZX_R V8