My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Hahahahh okay sisterHahahaaa. Ako ako tu kastarlet kanafaa kabisaa.
Uwiiii. Huo mgari hapo kwenye Avatar yabidi tuwe wavumilivu mana kuupata si sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahh okay sisterHahahaaa. Ako ako tu kastarlet kanafaa kabisaa.
Uwiiii. Huo mgari hapo kwenye Avatar yabidi tuwe wavumilivu mana kuupata si sasa.
Bentley Continental GT tatizo barabara zetu hizi.1. Range Rover
2. BMW M5
3. Bentley Continental GT
4. VW Amarok
Ulishawahi kumiliki magari ya volvo?1. Audi RS6 Avant
2. Volvo XC90 B5 R-Design
3. Volvo S90 PowerPulse R-Design
4. Volvo V90CC PowerPulse
Ndiyo vipi kwani?
Kwanza mitandaoni nayaona ni very expensive.Ndiyo. Vipi kwani?
Namba 4 nimekuelewa sana1.Iveco Massif - Nitafanya modification na kuweka Injini ya Hemi 5.7
2. Land Cruiser Series 105 - Engine 1HZ
3. Nissan Patrol Y61- Engine TD42
4. Ford F150- Mods Hemi 5.7
Gari lazima iwe manual na iwekwe bull bar.
Kwanza mitandaoni nayaona ni very expensive.
Ila binafsi yananivutia. Niliwahi kutamani kumiliki moja hasa Volvo XC 90...
Nipo kwenye mixed feelings.Expensive ukilinganisha na gari zipi? Maana ukilinganisha na luxury car brands, Volvo ni the cheapest.
Volvo wapo conscious na mazingira sana. Gari nyingi kama si zote za kuanzia 2015 kuja juu, CC ni ndogo ukilinganisha na washindani wake. Kwa mfano XC90 sasa zinatoka na CC 1969 na 4 cylinders. Ila zinakuwa na horsepower ya 232 na 0-60 in 7.4 seconds. Hii ni diesel engine...
Chukua, hautojutia. Kama upo ‘Minazini’, siku hizi kuna mafundi wa kuweza kuzi-service gari za namna hiyo.Nipo kwenye mixed feelings.
Binafsi napenda zaidi petrol engines.
Ila kwakuwa napenda kuwa unique, nitaifikiria hii gari.
It's beautiful afterall.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafundi wa Europe cars wa hapa bongo wanaringa sana. Wanajiona wako wachache ndio maanaChukua, hautojutia. Kama upo ‘Minazini’, siku hizi kuna mafundi wa kuweza kuzi-service gari za namna hiyo.
Shukrani Mr. Nzi.Chukua, hautojutia. Kama upo ‘Minazini’, siku hizi kuna mafundi wa kuweza kuzi-service gari za namna hiyo.
Wanaringa, kivipi?Mafundi wa Europe cars wa hapa bongo wanaringa sana. Wanajiona wako wachache ndio maana
ha ha kama namuona Churk Norris ndani ya walker texas rangerDodge ndio ndinga la ndoto zangu sijui lini nitazipata?!View attachment 1421839
Naitaka XC 90 You Mkuu ya mwaka 2011. Bei zake zikoje mpaka unaipata?Expensive ukilinganisha na gari zipi? Maana ukilinganisha na luxury car brands, Volvo ni the cheapest.
Volvo wapo conscious na mazingira sana. Gari nyingi kama si zote za kuanzia 2015 kuja juu, CC ni ndogo ukilinganisha na washindani wake. Kwa mfano XC90 sasa zinatoka na CC 1969 na 4 cylinders. Ila zinakuwa na horsepower ya 232 na 0-60 in 7.4 seconds. Hii ni diesel engine.
Kwa wastani mafuta ni kati ya 12-13 litres/km...