Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

Hahah haya mandinga ya siku hizi utamu wake yote unafanana tu mkuu afu yamejazwa gadgets tupu kila kitu unasaidiwa mara camera ya reverse,mara yana auto pilot,sijui Auto Park assist,bonge la touch screen radio etc

Mi napenda vile vitu org,havina zile mbwembwe za GPS,Air Suspension etc,yaani kazi yangu ni moja to enjoy driving only.

Hicho kitu konki cha Y60 chenyewe J5 hii naenda kukikagua na fundi,kikiwa .kamili Jmos nakiweka ndani,itakua kwa ajili ya ku-tow 2 tonnes trailer na off-road mzee baba,inshort napenda vitu vya old skulz mkuu,hahah.
Exactly! Gari za siku hizi zinaboa sana. Gari ina option nyingi sana mpaka inapoteza ladha ya kuendesha. Alafu karibu gari zote latest zina feature zinazofanana kuanzia back up camera, touch screen, parking sensors, automatic break za kuzuia gari isigonge unapo reverse, automatic head lights n.k
Ndio maana nao days napenda old and tough cars kama LC 60, 70 na 80 Series, Land Rover Defender Heritage, Nissan Patrol Y60 na gari zinafonana na hizo.
 
Duu minajua X6 kwani kunatofautigani hapo nipe elimu nielewe.
X6 M sport ni version ambayo wameongezea option kuifanya iwe na performance ya kisport. Ina nguvu na mbio zaidi ya Beemer ya kawaida.
Pia bei yake iko juu zaidi.
 

Attachments

  • 6E237D53-4E03-42D4-8052-B7DC71858171.jpeg
    6E237D53-4E03-42D4-8052-B7DC71858171.jpeg
    205.2 KB · Views: 12
Exactly! Gari za siku hizi zinaboa sana. Gari ina option nyingi sana mpaka inapoteza ladha ya kuendesha. Alafu karibu gari zote latest zina feature zinazofanana kuanzia back up camera, touch screen, parking sensors, automatic break za kuzuia gari isigonge unapo reverse, automatic head lights n.k
Ndio maana nao days napenda old and tough cars kama LC 60, 70 na 80 Series, Land Rover Defender Heritage, Nissan Patrol Y60 na gari zinafonana na hizo.

Uko sawa kabisa mkuu,shida watu tunaopenda vitu vigumu/vya kazi kama hizo choice zako hapo juu tunazidi kua wachache,majority wanataka gari yenye makorokoro ya kisasa mkuu.
 
•FERRARI.
•BUGATTI
•chevloret .
•Rolls royce
•LAMBORGINI

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Anzeni hata na tuvitz.. Sio mtu mtu unawaza ghorofa wakat huna hata uwezo wa kumiliki sofa..
 
Tufanye ndio umetoboa maisha tobotobo una mawe sana, ni gari gani nne uta-Prefer kununua unazozikubali.

Mimi ni hizi
1) BMW X6
2) Range Rover Vorgue
3) Landrover Discover 4
4) Ford Ranger

Zote New Model.
Ford Ranger...
 
Tufanye ndio umetoboa maisha tobotobo una mawe sana, ni gari gani nne uta-Prefer kununua unazozikubali.

Mimi ni hizi
1) BMW X6
2) Range Rover Vorgue
3) Landrover Discover 4
4) Ford Ranger

Zote New Model.
mimi ni bm na ford ranger kwisha kazi
 
1. Ford ranger
2. Range rover ile baba lao
3. Maserati
5. Benz..lorry la mizigo[emoji28]

Sijawahi kuota ndoto isitimie...Ford soon ntainyaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom