Ni makosa ya kiufundi kuandaa mdahalo katika jengo la TLS ambalo Mwabukusi ni Rais wake, na anamunga mkono Lissu hadharani, haki isingetendeka

Kwamba ukienda kwenye JENGO la wanao kupinga utashindwa kueleza sababu za wewe kuchaguliwa? Poor argument kabisa hi
 
Kwamba ukienda kwenye JENGO la wanao kupinga utashindwa kueleza sababu za wewe kuchaguliwa? Poor argument kabisa hi
Wanaweza kumpulizia madawa ya kulevya au wakamuwekea kwenye maji kumhujumu
 
Viongozi wakuu wote wa TLS ni kambi ya Lissu, halafu mdahalo unaandaliwa katika jengo la kambi moja, na wanatarajia haki itendeke.

Ni wazi kuna njama, fitna na hata Janja janja ya kumdhuru Mbowe. Hongera Mbowe kwa kukwepa mtego wa mahasidi
Mwabukusi sio mwandaaji wa mdahalo huu. Ukumbi unakodishwa hata wewe unaweza kuukodi ukafanyia besideyi yako
 
Viongozi wakuu wote wa TLS ni kambi ya Lissu, halafu mdahalo unaandaliwa katika jengo la kambi moja, na wanatarajia haki itendeke.

Ni wazi kuna njama, fitna na hata Janja janja ya kumdhuru Mbowe. Hongera Mbowe kwa kukwepa mtego wa mahasidi
uachage unaa! Ulitaka wakaandae wapi ndio mbowe angehudhuria?
 
Viongozi wakuu wote wa TLS ni kambi ya Lissu, halafu mdahalo unaandaliwa katika jengo la kambi moja, na wanatarajia haki itendeke.

Ni wazi kuna njama, fitna na hata Janja janja ya kumdhuru Mbowe. Hongera Mbowe kwa kukwepa mtego wa mahasidi
uachage unaa! Ulitaka wakaandae wapi ndio mbowe angehudhuria?
 
Mleta mada acha kumfanya mbowe ni underdog kwa lissu wakati mnasema ni jabali la siasa mpaka mnamuita mwamba! Unamdunisha mwenyekiti tena yupo madararakati muda mrefu na haijulikani kama atashindwa. Kina lissu ndio wangekimbia mdahalo huo kwa kuwa watakutana na jabali lililosheheni uzoefu wa siasa za ushindani. Uachage kudunisha mkubwa
 
Viongozi wakuu wote wa TLS ni kambi ya Lissu, halafu mdahalo unaandaliwa katika jengo la kambi moja, na wanatarajia haki itendeke.

Ni wazi kuna njama, fitna na hata Janja janja ya kumdhuru Mbowe. Hongera Mbowe kwa kukwepa mtego wa mahasidi
Kumbe wewe pimbi kweli kweli kwani ukifanyika hapo kuna nini kinapungua au kuongezeka?
 
Viongozi wakuu wote wa TLS ni kambi ya Lissu, halafu mdahalo unaandaliwa katika jengo la kambi moja, na wanatarajia haki itendeke.

Ni wazi kuna njama, fitna na hata Janja janja ya kumdhuru Mbowe. Hongera Mbowe kwa kukwepa mtego wa mahasidi
Hii Hoja yako ni dhaifu Sanaa.

R.i.p Thomas Sankara.
 
Viongozi wakuu wote wa TLS ni kambi ya Lissu, halafu mdahalo unaandaliwa katika jengo la kambi moja, na wanatarajia haki itendeke.

Ni wazi kuna njama, fitna na hata Janja janja ya kumdhuru Mbowe. Hongera Mbowe kwa kukwepa mtego wa mahasidi
Mbowe kaanza visingizio😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…