Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,713
- 3,559
Na hapo ndio shida itakopotokea, physical fights might happen.Njia pekee ya mbowe kushinda huu UCHAGUZI ni kufanya RIGGING IN ELECTION.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapo ndio shida itakopotokea, physical fights might happen.Njia pekee ya mbowe kushinda huu UCHAGUZI ni kufanya RIGGING IN ELECTION.
Akili za kipumbavu kabisa hivi.Wanaweza kumpulizia madawa ya kulevya au wakamuwekea kwenye maji kumhujumu
Matofali ndiyo yanaongea au mtu. Hebu muite Lissu white house ya CCM Dodoma ndiyo ujue anayeongea siyo rangi au bendera ya chama ila ni mtu.Viongozi wakuu wote wa TLS ni kambi ya Lissu, halafu mdahalo unaandaliwa katika jengo la kambi moja, na wanatarajia haki itendeke.
Ni wazi kuna njama, fitna na hata Janja janja ya kumdhuru Mbowe. Hongera Mbowe kwa kukwepa mtego wa mahasidi
SahihiMbowe Hana sera...
Umemfahamu lini Mbowe wewe? Michezo ya kitoto na ya kizamani hiyo umfanyie hivo mtoto wa mjini Freeman!Wanaweza kumpulizia madawa ya kulevya au wakamuwekea kwenye maji kumhujumu
Hizo enzi Tshimanga Kalala Asosa hajaanza kunyoa pank, Mbowe alikua anafanya kazi BOT, mbilinge za biashara alikua hajazianza kiviiile; huyu ni mtoto wa mujini, kaiva hasa, mji anaujua, uhuni wa namna hiyo ndio humwambii kitu yuleHao jamaa ni wahuni, wanaweza kumdhuru hata kwa sumu. Mbowe namjua kabla Tshimanga Kalala Asossa hajaanza kunyoa panki
Lissu matusi anaweza kumtukana matusi ya nguoni ktk kamera. Lissu kama kachanganyikiwaHata kama ukumbi ungekuwa Karimjee hall bado mbowe asingekanyaga kwani anamjua Lissu vilivyo kuliko hata wewe mleta mada
Jikite kwenye mkutano wenu Dodoma.Mwambuzi ni mafia
Kwamba Mbowe anamjua vizuri Lissu uko sahihi. Kumbuka Mbowe ndiye aliyemuokota Lissu akiwa anazurula TLP pamoja na wenzake Mch. Msigwa na Lema akamleta Chadema.Hata kama ukumbi ungekuwa Karimjee hall bado mbowe asingekanyaga kwani anamjua Lissu vilivyo kuliko hata wewe mleta mada