Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

National Anthem

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2022
Posts
19,177
Reaction score
56,121
Hallo Wakuu, Baridaaa!

Ni Mambo gani ambayo ukitumia pesa (money) yako.. nafsi yako (roho yako) hupatwa na furaha sana na amani ndani yake?

Binafsi;
1. Ninapo mpa pesa mke wangu, hunifanya kusikia furaha ya ndani sana moyoni mwangu na ninakuwa na amani.
2. Kujaza wese na kukimbia (napenda sana mbizo na kukimbia)

Haya mambo pindi nitumiapo pesa hufurahi sana ndani yangu... yaliyobaki yote huwa napata udhumi na roho kuumia sana

Intelligent businessman
mshamba_hachekwi
Dahan Bantu Lady, PhD. Penseli 4
 
Upo njema sana mzee.. nimependa moyo wako.. C.c Ms eyes Aaliyyah Gily Gru masai dada Nuzulati
Una jua mkuu, Nime toka katika familia flani hivi choka mbaya.
👉So naujua umasikini nje ndani, Nime uishi na kuuona pia.
👉Nina hasira na kitu kina itwa umasikini, so huwa najitahidi nipambane Kama so kwa ajili yangu, walio nyuma yangu, Basi Iwe hata walio nizunguka.
 
Una jus mkuu, Nime toka katika familia flani hivi choka mbaya.
👉So naujua umasikini nje ndani, Nime uishi na kuuona pia.
👉Nina hasira na kitu kina itwa umasikini, so huwa najitahidi nipambane Kama so kwa ajili yangu, nyuma yangu Basi I we hata walio nizunguka.
Mungu akufanyie njia pasipo na njia mkuu.. una moyo mzuri sana mzee baba 😍😊
 
Back
Top Bottom