Ni mambo gani ambayo wazee wa kitanzania hujutia na hawataki vijana nao yawatokee?

Ni mambo gani ambayo wazee wa kitanzania hujutia na hawataki vijana nao yawatokee?

Ni ngumu sana kuwaelewa wengine kama wewe mwenyewe hujajielewa na ni ngumu sana kuwahimili wengine kama wewe mwenyewe huwezi kujihimili. Kwa ili kuwaelewa wengine anza wewe kujielewa, na ili kuwahimili wengine anza wewe mwenyewe kujihimili.

Katika ukuaji wa utu hizi ni hatua mbili muhimu sana. Hatua ya kwanza kujielewa na hatua ya pili ni kujihimili mwenyewe. Ni rahisi kumwelewa mwingine kama wewe mwenyewe unajielewa na ni rahisi kuhiimili mwingine kama wewe mwenyewe unajihimili.
 
Mmmmmmhmn huu ushauri umetoa wapi kwanza tuanzie hapo?!
Hivi ndoa kumbe zinawazuia wanawake kutafuta maisha?!

Halafu swali jingine unatafuta maisha then uoe au uolewe?!


Sasa naelewa kwann mabinti wengi sasa hivi hali zao sio nzuri kwenye mahusiano.
Wewe jamaa una phobia ya wanawake walio independent na free thinkers, hii hali inakufanya uendelee ku date na magarasa
 
Una akili sana! Anaongoza humu..sijui ni inferiority! Anaongoza humu mie aina ya watu wa hvi hapana hata kuinteract nao kbs
Mimi kwa uzoefu wangu nchini Tanzania watu wazima wengi sana kitu cha kwanza wanachojutia ni kutokuzingatia elimu wakati wa ujana wao. Hili hata bibi yangu ambaye alikuwa hajui kusoma alikuwa ananiambia. Alikuwa ananiambia ningekuwa kwenye umri wako ningesoma kwa bidii sana sana. Japo la pili ni kuoa/kuolewa. Wengi utasikia wanasema ningekuwa ndiyo naoa/naolewa sasa hivi ningetumia muda kufanya uchaguzi na nisingekuwa na haraka kabisa.
 
Mimi kwa uzoefu wangu nchini Tanzania watu wazima wengi sana kitu cha kwanza wanachojutia ni kutokuzingatia elimu wakati wa ujana wao. Hili hata bibi yangu ambaye alikuwa hajui kusoma alikuwa ananiambia. Alikuwa ananiambia ningekuwa kwenye umri wako ningesoma kwa bidii sana sana. Japo la pili ni kuoa/kuolewa. Wengi utasikia wanasema ningekuwa ndiyo naoa sasa hivi ningetumia muda kufanya uchaguzi na nisingekuwa na haraka kabisa.
Humo humo mkuu!
 
Una akili sana! Anaongoza humu..sijui ni inferiority! Anaongoza humu mie aina ya watu wa hvi hapana hata kuinteract nao kbs
naupenda Sana wimbo wa AY ule wa zamani kidogo unawasifia wakina mama watafutaji.
Mimi wasi wasi wangu mwana dada anapoingia kwenye ndoa akiwa na wazo ndoa ikinishinda sio shida kwani Ni hiki kitani save.
Happy akikutana na changamoto ngumu kwenye ndoa hataivumilia Sana kwa sababu hata akitoka kwenye ndoa hatakuwa kwenye wakati mgumu kwa sababubu ana pakuendelea na maisha, Ni vizuri mno lakini hatari Ni kubwa kuliko unavyodhani wewe kwamba binti yako utahakikisha hataolewa asipo kuwa na B. Hofu ni ataiipa value hip B kuliko ndoa.
 
Mkuu hayo mawili nilikuwa naambiwa sana sana lakini ajabu ni kwamba hata mimi sasa hivi naona ningeweza kurudisha muda nyuma ndiyo ningerebesha.
Kaka kama una nafasi kasome...au soma online ! Mm kuna elimu naihitaji sana najisomea online kimtindo!
Hilo la pili😷
 
naupenda Sana wimbo wa AY ule wa zamani kidogo unawasifia wakina mama watafutaji.
Mimi wasi wasi wangu mwana dada anapoingia kwenye ndoa akiwa na wazo ndoa ikinishinda sio shida kwani Ni hiki kitani save.
Happy akikutana na changamoto ngumu kwenye ndoa hataivumilia Sana kwa sababu hata akitoka kwenye ndoa hatakuwa kwenye wakati mgumu kwa sababubu ana pakuendelea na maisha, Ni vizuri mno lakini hatari Ni kubwa kuliko unavyodhani wewe kwamba binti yako utahakikisha hataolewa asipo kuwa na B. Hofu ni ataiipa value hip B kuliko ndoa.
Mnataka kuwa abusive hamna jingine..tumeamka
 
Mimi kwa uzoefu wangu nchini Tanzania watu wazima wengi sana kitu cha kwanza wanachojutia ni kutokuzingatia elimu wakati wa ujana wao. Hili hata bibi yangu ambaye alikuwa hajui kusoma alikuwa ananiambia. Alikuwa ananiambia ningekuwa kwenye umri wako ningesoma kwa bidii sana sana. Japo la pili ni kuoa/kuolewa. Wengi utasikia wanasema ningekuwa ndiyo naoa/naolewa sasa hivi ningetumia muda kufanya uchaguzi na nisingekuwa na haraka kabisa.
Tegemea vijana wetu Leo huko mbeleni wakiongea kinyume Cha watu wasima wa leo
 
Back
Top Bottom