Ni mambo gani ambayo wazee wa kitanzania hujutia na hawataki vijana nao yawatokee?

Ni mambo gani ambayo wazee wa kitanzania hujutia na hawataki vijana nao yawatokee?

Heshima kwako madam atakayekupinga atakuwa ana matatizo kiakili umeongea ukweli mtupu!!
Kuna mabungila hapa hayajielewi...! Angalia vyanzo vyote vya vipigo na mauaji .chanzo huwa huko ! Aka! Somesheni watoto wenu wakike kama mnavyowasomesha wakiume ! Itawasaidia sana maishani
 
Ana makasiriko huyo hatarii
Kuna siku alinishambulia kwenye post yangu matumizi ya K yangu ila alini attack kama vile ana ubia kwenye K yangu nikabaki kushangaa
Toka hio siku nikipita nikiona comment zake ni za hivyo hivyo tu nikajua kumbe sikukosea yeye ndio ana shida
Kuna uzi wa wadada wanaozalishwa bila kuolewa wee alikua bitter utadhan dada zake wako hvyo . Yaan akiona unatoa wazo lako anakuita single mom umezalishwa tu umetekelezwa..utadhan kuwa singo mom ni curse!😅😅!
 
Ndo nachoweza kuwashauri....wanawake wengi wanakua abusive sana kisa hawana elimu..na wenyewe elimu wananyanyaswa kisa hawana kitu...naishia hapa
Mmmmmmhmn hebu isome vema hii comment yako naona umejichanganya somewhere. Umesema "wanawake wengi wanakuwa abusive sana kisa hawana elimu" (mwanamke anakuje abusive kisa hana elimu au umemaanisha anakuwa abused kwasababu hana elimu)

Kisha unasema na "wenyewe elimu wananyanyaswa kisa hawana kitu" (Hapa sijakupata kabisa).

So jaribu kuhariri comment yako iwe na ujumbe uliokusudia utufikie.
 
Niliwahi kuwasikia wakinena ya kuwa MAISHA YAKO NI YAKO BINAFSI na utafute kwa ajili yako na watoto ,ukipata KINGI basi punguza sifa za "kuwabeba sana watu kiuchumi" ili USIFIWE ,UTUKUZWE NA KUPENDWA....
Fainali uzeeni....
Huo uzee kwiioo kwanza utaufikia lini takwimu zinasema 40 hata ukiangalia tunapoishi kuifika 40 ni mbinde.
 
Mmmmmmhmn hebu isome vema hii comment yako naona umejichanganya somewhere. Umesema "wanawake wengi wanakuwa abusive sana kisa hawana elimu" (mwanamke anakuje abusive kisa hana elimu au umemaanisha anakuwa abused kwasababu hana elimu)

Kisha unasema na "wenyewe elimu wananyanyaswa kisa hawana kitu" (Hapa sijakupata kabisa).

So jaribu kuhariri comment yako iwe na ujumbe uliokusudia utufikie.
Labda una uzito kuelewa..naongelea wanawake aina 2..wasio na elimu na wenye elimu.. umemaliza chuo paap ukaolewa bila hata kuwa na ajira...utakuwa abusive kisa upo tu huna lolote financially uko hohehahe..na yule asiye na elimu naye atanyanyasika kisa hajasoma huna la kumfanya! Unamtegemea mtu kila kitu
 
Mm nataka na mtoto wa kike akili ichangamke..umesoma lakini upo tu huna chochote cha kufanya kazi kuzaa tu nakulea ...umeagana na Mungu ww? ..hayo ni mengine...!ni ziada
Hivi hiki ulichokisema hata wewe unakiamini, kuwa kuna mwanaume anataka kuwa na mke aidha awe msomi au sio msomi halafu amekaa tu hana mishe yoyote ya kusapoti nguvu ya uchumi wa familia?!
 
Hivi hiki ulichokisema hata wewe unakiamini, kuwa kuna mwanaume anataka kuwa na mke aidha awe msomi au sio msomi halafu amekaa tu hana mishe yoyote ya kusapoti nguvu ya uchumi wa familia?!
Una miaka mingapi kwanza? Umeoa? Basi tembea uone ..au unajitoa ufahamu
 
Unapokuwa unachangia mada kwenye hizi public platforms avoid sana kuanzisha beef au mikwaruzano personal na mtu usie mjua. The world isn't that huge and big.

Sasa hiyo akili ya my mother kanifanyia nini hivi umewaza nini?!

Yaani niwe na agenda za mahusiano halafu nimind bi mkubwa wangu?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Okay ngoja nikusaidie ili next time usilete kujua kwingi. Mijadala yangu juu ya mahusiano na especially comments zangu kwa wanawake wenye mienendo sio hazina influence yoyote kutoka kwa familia yangu wala wazazi, cause am not coming from a broken home.

Hizi comments ni matokeo ya my personal experience katika mahusiano of which ukitazama sipo pekee yangu (nashangaa umeni attack as if am the only one who always comment about shida za ninyi mabinti wa kisasa). Anyways kwenye hilo just juribu kuwa rational, hautaki niongee chochote au?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Mama yangu ni wale wa mama classic wa miaka hiyo ambao wametulea watoto wao bila sarakasi huku wakiiishi na wazee wetu kwa amani kabisa. Sijawahi hata kuona wazazi wangu wakipishana kauli wala mzee wangu akiongea na mama yangu kwa ukali au gadhabu.

Shida ninyi kizazi cha sasa mna mawenge kama popcorn kwenye kikaango.
 
Ndo nachoweza kuwashauri....wanawake wengi wanakua abusive sana kisa hawana elimu..na wenyewe elimu wananyanyaswa kisa hawana kitu...naishia hapa
siungi mkono unyanyasaji wa wanawake sababu ya kutokuwa na kipato au Elimu, tahadhari elimu na kipato vyote vinaweza vinaweza kujenga au kuibomoa familia, inatagemeana na tabia ya mke mwenyewe. Naunga mkono kwa mke kuwa na kipato na elimu lakini atambue wajibu wake kwenye nafasi yake kama mke, kinyume chake anaweza kuishia kuwa frustrated
 
Unasisimkaje sasa?!

Jambo kama si kweli halitakiwi kukustua au kukufedhesha ila kama ni kweli then lazima utarreact.
Ni kweli kuhusu nn? Mm sipend mwanaume anayemdharau mwanamkr kwa aina yyt ile..! Damu yangu huwa inasisimka ..!maana kama hela wote tunajua kutafta sasa iweje unichukulia poapoa tu..hahahaaa waleleee
 
Back
Top Bottom