Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna mabungila hapa hayajielewi...! Angalia vyanzo vyote vya vipigo na mauaji .chanzo huwa huko ! Aka! Somesheni watoto wenu wakike kama mnavyowasomesha wakiume ! Itawasaidia sana maishaniHeshima kwako madam atakayekupinga atakuwa ana matatizo kiakili umeongea ukweli mtupu!!