Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ndo maana yangu hiyo..na mwanaumr atambue wajibu wakr..la sivyo ataishia kuwa frustrated toosiungi mkono unyanyasaji wa wanawake sababu ya kutokuwa na kipato au Elimu, tahadhari elimu na kipato vyote vinaweza vinaweza kujenga au kuibomoa familia, inatagemeana na tabia ya mke mwenyewe. Naunga mkono kwa mke kuwa na kipato na elimu lakini atambue wajibu wake kwenye nafasi yake kama mke, kinyume chake anaweza kuishia kuwa frustrated