Ni mambo gani mepesi kufanyika ambayo huwezi kuyafanya?


Hiyo namba 4, mimi nilishatoka huko kwenye hiyo style!
Kwa sasa mimi naweza kutumia pua, jicho, sikio, kucha ama kiganja kufungua chupa!
Ni concept ndogo tu inatumika hapo!
 
Hii hata Mimi inanipa changamoto unakuta MTU yupo comfortable kabisa anapiga ubwabwa kwenye kisinia mpk huwa nahisi labda waislam wanazoeshwa wakiwa wadogo huko madrasa
Nilikua nawaza hivyo hivyo, hii style ni pendwa Sana kwao hasa kwenye ubwabwa nilishaijaribu nimeshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…