Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

NB kwa maelezo ya mleta mada ninathubutu kusema sio mkatoliki maana naona hajui kila kitu.
Ni mkatoliki wa kuzaliwa,ubatizo,kumnyo,kipaimara na ndoa. Kwenye kitambulisho changu Bado sehemu ya kifo tu ndo ipo wazi Kwa sasa.

Sijui Ili niwe mkatoliki inahitajika niwe na Nini zaidi. Awali nimesema wazi sijawahi ona tangiapo hii niliyoona
Sijawahi hudhuruli kwenye kutabaruku kanisa hii ndio mwanzo Huwa ikifanyika mara kadhaa Huwa sihudhurii.

Unaposema masalia sisi katekista aliyekuwa kama Mc ndo alikuwa anasema mifupa. Sasa tukuamini wewe au yeye au sisi tuliokuwepo?
 
Kwa kifupi Mimi kwenye kitu nilichoshuhudia Huwa sihitaji debate otherwise ningekuwa nimesimuliwa na hiki ndo nilichoona na kusikia pale kama unataka USHAHIDI/ uthibitisho njoo pm nikuambie kanisa lilipo uende ukafukue kama utarusiwa ushuhudie kilicho zikwa hapo kama ni makapi au kope za marehemu.
 
Mi Nashangaa tuu eti kama hauna Jumuiya hawakuziki kikanisa. ila kama ni tajiri wanakuzika.
Hukuona Kingunge Ngombare Mwiru walivyomuingiza kwenye ukristu ghafla bin vuu wakati anakaribia kufa?! Angekuwa mtu wa kawaida ambaye hana mkwanja na umaarufu nani angehangaika nae ?!
 
Bado hizo chembe za masalia ya mtu aliyekufa ni ushirikina.!
Halafu wewe unamuita binadamu mwenzio mtakatifu kwa kigezo gani?!
Mungu pekee ndiye anayejua nani ni mtakatifu!.
 
"sina hakika kama uliiona mifupa kwasababu huwa sio mifupa haswa bali chembe ndogo sana ya masalia ya huyo mtakatifu"

Hayo masalia ni nini?
Labda ni kucha za huyo maiti wanayemuita mtakatifu!😆😆😆😆
 
Na kama ungekuwa muislamu waislamu tungekuwa na hasara kuwa na mtu mwenye akili mbovu kama wewe!
Endelea huko huko kwa WAVAA MISALABA ndio panakufaa!.
 
Bado hizo chembe za masalia ya mtu aliyekufa ni ushirikina.!
Halafu wewe unamuita binadamu mwenzio mtakatifu kwa kigezo gani?!
Mungu pekee ndiye anayejua nani ni mtakatifu!.
Tuachie ushirikina wetu wewe nenda na utakatifu wako.
Ulishawahi kuona RC imefunga maspika mahali ikiwaita watu wajiunge RC?
Tumejengwa juu ya mwamba Petro mwenyewe hatuyumbi
 
Mkùu sio kweli RC hawaangalii pesa wanaangalia ushiriki wako katika jumuia na kanisani Refer Mzee mrema yule wa Impala na Ngurdoto Padri alikataa wake wakapanda mpaka kwa Askofu akawaambia kaanzieni ngazi ya jumuia mpaka kwa paroko mje na majibu ikabidi watafute walokole uchwara wakawapa mpunga wakaja kuendesha ibadan ya mazishi ill RC waligoma
 
Acha uongo wako ! Mzee Kingunge Ngombare Mwiru alikuwa akishiriki jumuia gani au hakuzikwa kikatoliki yule ?!
 
Mkuu mkaa unawekwa kwenyw chungu kutokana na chetezo kutotosha mkaa uho kisha umwaga ubani ndani ya mkaa ukisema watumie chetezo mpaka ibada iishs moto utazim san

Kuhusu mifupa ni mifupa ya watakatifu ni njia moja wapo ya kuungana nao katika sala zao
 
Mimi sina dini ya aina yeyote ile.

Sasa punguza mihemko yako kudhani kila mtu ana udini.

Ukristo na Uislamu zote ni UTAPELI.
Kutuambia kwamba huna dini huo ni uongo bana ...........walikupaje jina ??
 
Nimeogopa kabisa!! Yaani 'chembe ndogo kabisa ya masalia ya huyo mtakatifu....' like serious!!?

Huo si uganga kabisa jamani!!!

Chungu, ubani, masalia!! Ukianza kutetea haya utaweza??

Why all that??

Afu hapo 'kwa imani yetu sisi wakatoliki...' where is that imani coming from?

Is it from the Bible? Au from the so called 'mapokeo matakatifu?'

Huyu hawezi kuwa Mungu wa kweli! No!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…