Baada ya yote hayo kuisha kiongozi wetu wa dini yaani (.....) alipapaka mafuta na kuanza kupasugua na kupasafisha yeye mwenyewe.
Hakuna ushirikina hapo ni kawaida kabisa. Mbona wakatoliki tunazika maaskofu ndani ya kanisaHalafu utasikia wanasema waislamu ni washirikina.
Kwa asili muafrika yake ni tunguri tu, hizi imani nyingine ni maigizo.
Wala huongopi.75% watu walioshikamana na dini ni wachawi kinoma.
Hatari sana hiiNdugu yangu alimkuta mchungaji na mke wake wanaroga kanisani (alikua anaenda ibada ya usiku - walokole) walivomuona wakamwambia usije kanisani hadi zipite siku 7 na usimwambie mtu yeyote haya uliyoyaona hapa, akahisi wanatania.
Kesho kutwa yake alienda kanisani (ilikua ijumaa wanakati wanaroga, jumapili akaenda ibada ya jumapili), alivotoka kanisani akawa mwehu ghafla, akawa anakimbia kimbia tu hadi akaanza kusahau watoto, akafungwa kamba na kuanza kuombewa (mme wake alikua hajui chanzo ni nini). Wamehaingaika nae kwa muda mrefu, ikabidi apelekwe kwa waganga wa kienyeji, alikuja kupata unafuu baada ya miaka miwili mbele ndiyo kusimulia yote.
Uko sahihiMkuu hayo ni mambo ya kabisa katoliki, ukiona kabisa Linaitwa parokia ya mtakatifu "yuda thadei" ujue Kuna mifupa ya huyo mtakatifu altareni, huo ni upagani kama upagani mwingine eg kuombea wafu,kuabudu sanamu nk..
Kuna vingi vinafanyika kinyume na biblia,
Mambo ya kishetaniTulia sali...hz ni mambo toka karne na karne acha kushangaa
Wanaabudu miungu hapo tusidanganyane!Tulia sali...hz ni mambo toka karne na karne acha kushangaa
Tuliambiwa tutuoe michango kwa ajiri ya matibabu ya mchungaji wakati waumini wagonjwa tunaambiwa tuwaombee. Sikirudi tena kanisani tàngu siku iyo.Hii siyo hadithi wala story ni mwaka huu tu imetokea kwenye kanisa langu la siku zote.
Basi kulikuwa na usimikaji/kuzindua kanisa jipya tulilo changa ma hela kwa miaka kadhaa hadi mwaka huu likawa limekamilika na hatimae Askofu alikuja kulizindua kanisa hilo pamoja na kupewa hadhi ya kuwa parokia
Jambo lililo tuacha midomo wazi waumini wengi ni mambo kadhaa wa kadhaa (sita yataja yote) tukio la kulisimika kanisa lilianza saa3 asubuhi hadi saa10 jioni.
Moja ya matukio tuliyoona kwa macho ni mifupa ya marehemu aliye fariki siku nyingi kuletwa na kuzikwa kweye arutale(mimbari) Huyu marehemu ambaye kwa sasa tunamuita MT fulani kwa imani yetu.
Kulikuwa na chungu kama vile vya waganga wa kienyeji na vilikuwa na vitu kadhaa mle ndani pamoja na mkaa wa moto huku moshi mzito ukifuka.
Baada ya yote hayo kuisha kiongozi wetu wa dini yaani (.....) alipapaka mafuta na kuanza kupasugua na kupasafisha yeye mwenyewe. Na mengine mengi.
Hakika kwa haya yameniacha mdomo wazi na sio mimi tu nimejaribu kuuliza viongozi kadhaa wa dhehebu langu sijapewa jibu la kueleweka maana mimi niliona kama ni kinyume na ukristo.
Wakuu nahitaji kuuliza maana nilijua najua vitu vingi kwenye imani yangu kumbe bado kabisaaa ni mtoto.je hii ina ulazima gani na kwanini ifanyike hadharani na mc akitangaza hadharani kwenye vipaza sauti na watu wasio sali dhehebu letu wasikie na kujua kinacho endelea?
Je, wewe umewahi kuona kitu ambacho kilikuacha mdomo wazi na maswali mengi .
Usikute na kuombewa alipelekwa kwa hao hao wachungajiNdugu yangu alimkuta mchungaji na mke wake wanaroga kanisani (alikua anaenda ibada ya usiku - walokole) walivomuona wakamwambia usije kanisani hadi zipite siku 7 na usimwambie mtu yeyote haya uliyoyaona hapa, akahisi wanatania.
Kesho kutwa yake alienda kanisani (ilikua ijumaa wanakati wanaroga, jumapili akaenda ibada ya jumapili), alivotoka kanisani akawa mwehu ghafla, akawa anakimbia kimbia tu hadi akaanza kusahau watoto, akafungwa kamba na kuanza kuombewa (mme wake alikua hajui chanzo ni nini). Wamehaingaika nae kwa muda mrefu, ikabidi apelekwe kwa waganga wa kienyeji, alikuja kupata unafuu baada ya miaka miwili mbele ndiyo kusimulia yote.
HeheheheheheNipo kwenye tamasha la hawa manabii mkoa fulani.
Kuna jamaa amekalia wheelchair huku amejifunika na blanketi.
Nabii akaanza kukemea huku akimsogelea jamaa.
"NINASEMA TEMBEA"
"SHETANI UMESHINDWA, INUKA UTEMBEE"
Yule jamaa hanyanyuki kwenye wheelchair anamuangalia Nabii.
Nabii akasogea kwa nguvu akanyanyua blanketi kwa nguvu huku anakemea kwa mwendo uleule.
Turns out jamaa ni amekatika miguu.
Nabii kashikilia blanketi hajui alifanye nini
Sitetei kwasababu hakuna anayetushtaki wala kutudai.nimetoa ufafanuzi wa alichouliza mtoa mada.Nimeogopa kabisa!! Yaani 'chembe ndogo kabisa ya masalia ya huyo mtakatifu....' like serious!!?
Huo si uganga kabisa jamani!!!
Chungu, ubani, masalia!! Ukianza kutetea haya utaweza??
Why all that??
Afu hapo 'kwa imani yetu sisi wakatoliki...' where is that imani coming from?
Is it from the Bible? Au from the so called 'mapokeo matakatifu?'
Huyu hawezi kuwa Mungu wa kweli! No!
Ugomvi wa kunyang`anywa tawi kibabe. Juzi kati kuna mchungaji mmoja alinyang'anywa tawi analoliongoza. Kuna viongozi toka ngazi ya juu walikuja kanisani na kumtoa mchungaji mbele kisha wakavuruga ibada na kulifunga kanisa wakidai mchungaji kaasi kundi lao na kujiunga kundi jingine hasimu wanalogombania madaraka. Kukawa na vurugu mpaka polisi wakaitwa kuja kutuliza ghasia. Cha kushangaza inakuaje wachungaji kwa wachungaji wanagombania madaraka bila aibu kwa washirika wao kiasi cha kuonekana ni wapagani wasio na Mungu?
Walokole wengi wapo kimaslahi zadi tena waziwaziKuna mshirika mmoja alifichua njama za kuwepo mapinduzi ya kumpindua mchungaji uongozini kisha kuliteka tawi lake na kulipeleka parishi nyingine inayoongozwa na kiongozi mbabe anayetaka kuunda jimbo lake ndani ya jimbo linalotambuliwa kitaifa. Huyo mtuhumiwa wa njama za mapinduzi ilibidi aitwe kikaoni kuulizwa kwa nini anafanya uasi kutaka kumpindua mchungaji wa tawi na kuliteka kisha kulipeleka upande hasimu akawa mkali na kutaka kupigana ndani ya kanisa kibabe huku akituona wajumbe wa kikao hatuna uwezo wa kumkabili. Nilishangaa kuzuka mzozo mkali ndani ya kanisa wakati si mahali pa kufanyika hali hiyo bali ni sehemu ya kuomba amani na upendo kwa watu wote. Tamaa ya madaraka ndio chanzo cha mzozo huo. Viongozi wa juu kuhasimiana na kufarakana kisha kuligawa kundi kila mmoja kutaka kumiliki parishi kadhaa aunde jimbo lake na ikiwezekana ajitoe kwenye kanisa na asajili kanisa lake jipya ndio chanzo cha migawanyiko, tamaa ya madaraka
Hii iko kila sehemu ila kwa romani hadi mpende wenyewe padre akiumwa ni ndege moja kwa moja hadi ughaibuni hasubri michago.Ila kwa walokole hii ipo wazi tuTuliambiwa tutuoe michango kwa ajiri ya matibabu ya mchungaji wakati waumini wagonjwa tunaambiwa tuwaombee. Sikirudi tena kanisani tàngu siku iyo.
Kwani Huyu Bwana Petro Si Ndo Shetani Kwa Mujibu Wa Yesu Wa Biblia?"Petro Nenda Nyuma Yangu Shetani Maana Huyawazi Yalio Ya Mungu Bari Ya Wanadam"Tuachie ushirikina wetu wewe nenda na utakatifu wako.
Ulishawahi kuona RC imefunga maspika mahali ikiwaita watu wajiunge RC?
Tumejengwa juu ya mwamba Petro mwenyewe hatuyumbi
Duuh aiseee tumefika hukuNdugu yangu alimkuta mchungaji na mke wake wanaroga kanisani (alikua anaenda ibada ya usiku - walokole) walivomuona wakamwambia usije kanisani hadi zipite siku 7 na usimwambie mtu yeyote haya uliyoyaona hapa, akahisi wanatania.
Kesho kutwa yake alienda kanisani (ilikua ijumaa wanakati wanaroga, jumapili akaenda ibada ya jumapili), alivotoka kanisani akawa mwehu ghafla, akawa anakimbia kimbia tu hadi akaanza kusahau watoto, akafungwa kamba na kuanza kuombewa (mme wake alikua hajui chanzo ni nini). Wamehaingaika nae kwa muda mrefu, ikabidi apelekwe kwa waganga wa kienyeji, alikuja kupata unafuu baada ya miaka miwili mbele ndiyo kusimulia yote.
Hakuna Binadam Anayekosa Imani Ya Kuamini Ila Ujinga Wako Ndo Umekusahaulisha Kwamba Hata Hiyo Uliyo Nayo Ni Dini Pia Kwani Fomula Ya Maumbile Ni Uwili.Kupewa jina hakutegemei dini.
Una elewa hilo?
Naachaje kukereka ninapoona mwenzangu akiabudu mbele ya masalia, au chembe ya mifupa ya maiti?Sitetei kwasababu hakuna anayetushtaki wala kutudai.nimetoa ufafanuzi wa alichouliza mtoa mada.
Wewe abudu huyo Mungu wako wa kweli hakuna anayekuzuia,tuachie uganga wetu maana hatukushawishi uje kwetu sasa unakereka nn?