Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

Umefanya zaidi ya MC! Kwa nini usiwaulize viongozi wa hilo "unalodai ni" dhehebu lako huko?
Soma vizuri verse ya2 kutoka mwisho nimesema


Hakika kwa haya yameniacha mdomo wazi na sio mimi tu nimejaribu kuuliza viongozi kadhaa wa dhehebu langu sijapewa jibu la kueleweka maana mimi niliona kama ni kinyume na ukristo.
 
Wewe huhitaji msaada wowote wa kutaka kujuwa au kuelimishwa. Kwanza ulitakiwa utaje hilo dhehebu la kikristu unalolizungumzia, pili utaje bimbo na parokia husika na pia ungenukuu maneno mawili matatu au hata zaidi alichosema huyo mc au huyo askofu. Wewe umeleta dharau na kashfa tu kwa dhehebu ambalo kila mtu atakuwa na husia nalo. Hayo ndio maoni yangu.
 
sawa
 
Sasa kama mifupa ya huyo yuda itapelekwa kwenye makanisa yote yaliyoitwa jina lake,si itakwisha.
 

Masalia yake mengine kama vile nywele nayo ni sawa?
 
Shukurani sana na ahsante sana kwa eliminate hii kwa watu wote na yeye mleta Madam.
 
...Hilo Kabisa halina Jina ? Kama ilitokea kweli Kwa Nini unaficha jina la Kanisa ?? Ilikuwa Siri ??...
Umeuliza kana kwamba jamaa ni Muongo. sasa mimi nakupa uhakika ukitaka nenda kathibitishe. Siku ya uzinduzi wa Ujenzi wa Kanisa Jipya la RC Mjini Dodoma mtaa wa Area A, yalizikwa majivu ya mifupa ya mtakatifu wao katika miambari ya kanisa. Na walienda kwa maandamano kuyapokea Airpot.

So sio uongo maana mwanzo nilizani mleta uzi anazungumzia hilo kumbe stori yake imetokea kanda ya ziwa.
 
Kuna siku niko chachi kuna mzee wa kanisa nikamuona ananyata katikati ya mabenchi akanyanyua mkono juu akamnasa bonge la kibao muumini na akamtoa nje kuulizia nini? Eti yule alikuwa mwana maombi RC wanajua wale karismatik
 
Mkuu kubishana na watu wa hivyo ni kupoteza muda tu. Niseme uongo kwa kanisa ninalo mimi mwenyewe ili iweje na kwa faida ya nani?
 
Kuna siku niko chachi kuna mzee wa kanisa nikamuona ananyata katikati ya mabenchi akanyanyua mkono juu akamnasa bonge la kibao muumini na akamtoa nje kuulizia nini? Eti yule alikuwa mwana maombi RC wanajua wale karismatik
Mimi pangechimbika asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…