Ni Mambo Gani unaweza kusamehe au kutokusamehe?

Ni Mambo Gani unaweza kusamehe au kutokusamehe?

Dr Lizzy

Platinum Member
Joined
May 25, 2009
Posts
31,009
Reaction score
60,629
Kuna watu hua wanaongelea msamaha as if ni neno tu bila matendo...yani unaomba tu kirahisi NISAMEHE na mimi najibu tu NIMEKUSAMEHE ilimradi umeomba na mimi nimejibu.
Utasikia watu wakisema ohh hamna lisilosamehewa...mara samehe mara saba sabini...hivi ni rahisi kiasi hicho???
Mtu anacheat over and over again...nae anastahili msamaha??
Mtu amekuulia mwanao kwa makusudi...anaanzia wapi kukuambia samahani na wewe kumsamehe??
Mtu aliyekubaka kwa kukusudia....unamwangalia vipi mpaka umpe huo msamaha!
Kuna mambo mengi tu ambayo binafsi naona na ninaamini ni ngumu sana kusamehe kwakweli!Huwezi kuwambia mtu ohh samahani kwa kukubaka...naomba unisamehe na mimi nikasema okeyy yameisha au nikakataa ukaanza kunipa mistari ya biblia!!

JAMANI HATUISHI KWENYE ULIMWENGU WA KIROHO!!!...NA KAMA INGEKUA HIVYO KUSINGEKUA NA DHAMBI !!!

Embu tuwe wakweli....unaweza kusamehe chochote kile??
 
Kuna watu hua wanaongelea msamaha as if ni neno tu bila matendo...yani unaomba tu kirahisi NISAMEHE na mimi najibu tu NIMEKUSAMEHE ilimradi umeomba na mimi nimejibu.
Utasikia watu wakisema ohh hamna lisilosamehewa...mara samehe mara saba sabini...hivi ni rahisi kiasi hicho???
Mtu anacheat over and over again...nae anastahili msamaha??
Mtu amekuulia mwanao kwa makusudi...anaanzia wapi kukuambia samahani na wewe kumsamehe??
Mtu aliyekubaka kwa kukusudia....unamwangalia vipi mpaka umpe huo msamaha!
Kuna mambo mengi tu ambayo binafsi naona na ninaamini ni ngumu sana kusamehe kwakweli!Huwezi kuwambia mtu ohh samahani kwa kukubaka...naomba unisamehe na mimi nikasema okeyy yameisha au nikakataa ukaanza kunipa mistari ya biblia!!

JAMANI HATUISHI KWENYE ULIMWENGU WA KIROHO!!!...NA KAMA INGEKUA HIVYO KUSINGEKUA NA DHAMBI !!!

Embu tuwe wakweli....unaweza kusamehe chochote kile??

Lizzy umeonge ukweli ila hapo kwenye red and bold umemaanisha nini dear!!!
 
msamaha upo na huonyeshwa kwa matendo lizzy, sio mdomoni wakati kila kunapokucha unarudia kumueleza mhusika makosa aliyokutendea believe me or not hakuna dawa nzuri ya amani na furaha kama kusamehe wengi waliokaa na chuki na visasi mioyoni huishia kwenye magonjwa na matatizo.

naweza kusamehe jambo lolote kwa moyo mweupe bila kuendelea kumnanga aliyenikosea lucky me sababu najua kusamehe.😛opcorn:
 
Forgiveness is a gift you give yourself.
Ni bora mtu usamehe sababu most of the times inakuumiza wewe kuliko yule ambaye haujamsamehe...
Can I forgive anything??....., yes if she is sincere...., lakini I hate to be taken for granted.... If I know she does not mean it I will forgive her once and be aware that it will happen again... Not expecting the unexpected if you know what I mean..., I will learn to leave with that and accept her for whom she is...
 
Mama Mchungaji darasa tunaendelea lini nimjulishe hashycool pia
 
Kweli mpendwa.
Watu wengine wanaomba msamaha tu lakini moyo na matendo yao hayabadiliki.
Mambo ya kusamehe 7 mara 70 wengine yatatushnda.
 
Kuna watu hua wanaongelea msamaha as if ni neno tu bila matendo...yani unaomba tu kirahisi NISAMEHE na mimi najibu tu NIMEKUSAMEHE ilimradi umeomba na mimi nimejibu.
Utasikia watu wakisema ohh hamna lisilosamehewa...mara samehe mara saba sabini...hivi ni rahisi kiasi hicho???
Mtu anacheat over and over again...nae anastahili msamaha??
Mtu amekuulia mwanao kwa makusudi...anaanzia wapi kukuambia samahani na wewe kumsamehe??
Mtu aliyekubaka kwa kukusudia....unamwangalia vipi mpaka umpe huo msamaha!
Kuna mambo mengi tu ambayo binafsi naona na ninaamini ni ngumu sana kusamehe kwakweli!Huwezi kuwambia mtu ohh samahani kwa kukubaka...naomba unisamehe na mimi nikasema okeyy yameisha au nikakataa ukaanza kunipa mistari ya biblia!!

JAMANI HATUISHI KWENYE ULIMWENGU WA KIROHO!!!...NA KAMA INGEKUA HIVYO KUSINGEKUA NA DHAMBI !!!

Embu tuwe wakweli....unaweza kusamehe chochote kile??
Kuna watu wengine wanafanya vitu makusudi wakijua tu wkiomba msamaha basi watasamehewa
 
Nimemaanisha mtu aliyeua mtoto wako au mtu wako yeyote wa karibu kwa kukusudia!


Aisee???!!!! Kuua??? Hiyo ngumu lakini?? Mie ndo maana nikauliza maana nilikuwa sijaelewa nilidhani umemaanisha kutoa mimba. Ok ok thanks
 
Nimemaanisha mtu aliyeua mtoto wako au mtu wako yeyote wa karibu kwa kukusudia!

we!yani moyo umepiga kwa nguvu hadi meza ya jirani hapa wameshtuka,kweli my four months old handsome baby boy,full of life, afu i should let it go kwa 'am very sory' tu!?Mungu pishia mbali,mi siwezi bana.kwanza ngoja niulize huko home kama kako powa!mambo mengine magumu sana!
 
VoR what if the person is not sincere!Na kama kweli watu wana roho za kusamehe kama mnavyodai KWANINI VIBAKA WANACHOMWA MOTO?KWANI WAUAJI WANYONGWA AU KUFUNGWA MAISHA?KWANINI WABAKAJI WANAFUNGWA?Waliotendewa hayo kwanini wasisamehe bila kwenda kushtaki maana jela zimejaa na nyie mnasema makosa yote yanasameheka?Iweje kwa waliopo jela au waliouwawa ishindikane?
 
Nimemaanisha mtu aliyeua mtoto wako au mtu wako yeyote wa karibu kwa kukusudia!

It will hurt you more if you dont..... kuna hii Serenity Prayer inaanza hivi..

God, grant me the serenity to accept the things I cannot change, Courage to change the things I can, And wisdom to know the difference

Depends kama mtu amekubaka au ameua ndugu yako huyo mtu ni menace to society inabidi ukae nae mbali na jamii ikae nae mbali because someone who abuse others he does not belong to a community..., kumsamehe rohoni does not mean you will welcome him to your house.., just keep a distance

Now misamaha mingine if you know for sure kwamba huyu mtu atarudia tena..., dont give him a chance ya yeye kukutenda..., ila dont put a grudge kwenye roho yako..., it will consume you more
 
Aisee???!!!! Kuua??? Hiyo ngumu lakini?? Mie ndo maana nikauliza maana nilikuwa sijaelewa nilidhani umemaanisha kutoa mimba. Ok ok thanks
Kuua live mpenzi!Wanaodai wanaweza nadhani tutakua tunadanganyana tu kwasababu haijatokea!
 
we!yani moyo umepiga kwa nguvu hadi meza ya jirani hapa wameshtuka,kweli my four months old handsome baby boy,full of life, afu i should let it go kwa 'am very sory' tu!?Mungu pishia mbali,mi siwezi bana.kwanza ngoja niulize huko home kama kako powa!mambo mengine magumu sana!

Pole kwa kukushtua!
 
Kuua live mpenzi!Wanaodai wanaweza nadhani tutakua tunadanganyana tu kwasababu haijatokea!

Mie muiraqw nitakuua na wewe na mimi pia. Uue mwanangu Mungu wangu hebu ngoja niwacheki watoto wangu home dah umenishitua mie kwa hilo dear siwezi kusamehe milele.
 
VoR what if the person is not sincere!Na kama kweli watu wana roho za kusamehe kama mnavyodai KWANINI VIBAKA WANACHOMWA MOTO?KWANI WAUAJI WANYONGWA AU KUFUNGWA MAISHA?KWANINI WABAKAJI WANAFUNGWA?Waliotendewa hayo kwanini wasisamehe bila kwenda kushtaki maana jela zimejaa na nyie mnasema makosa yote yanasameheka?Iweje kwa waliopo jela au waliouwawa ishindikane?

Hapo Lizzy wabakaji, wauwaji they are menace to Society kwahiyo they should be kept far away from community ili wasiwadhuru wengine..., I Dont Believe in Killing People Who Kill People.... Because thats makes us Killers as well..., lakini kifungo cha maisha its okay..., sio kuwakomoa tu bali kulinda Jamii...,

Now if you dont let go..., forgive... it will consume you my dear....., if one of your child is gone hili janga might change you and you might not be able to love the remaining children perfectly..., "An Eye for an Eye will make the all world Blind" ..... Gandhi.
 
usisahau kitu kimoja ubaya una mwisho finest utamsamehe huku akiendelea na mizaha yake but you know what kuna siku atalipa ujira kwa kazi anayokufanyia kwa njia yoyote ambayo wewe hautahusika.embu jiulize ukiishi miaka 50 na vinyongo au kutoa wiki moja ukasamehe maisha yakaendelea,maisha nani atakuwa anaumia?

Kuna watu wengine wanafanya vitu makusudi wakijua tu wkiomba msamaha basi watasamehewa
 
Finest embu nisaidie..we unaweza?
Kuna ishu zingine bana kusamehe ni kama vile kimeo imagine mwanamke anayepigwa na mumewe kila siku hapo unaweza kuwa unasema unamsamehe mtu mumeo .

Ubakwe halafu useme usamehe?? Tatizo ni yale makovu yanayokuwa ndani imagine kila siku unakutana na huyo mbakaji wako how would you feel?? Hapo sidhani kama msamaha utafanya kazi
 
msamaha upo na huonyeshwa kwa matendo lizzy, sio mdomoni wakati kila kunapokucha unarudia kumueleza mhusika makosa aliyokutendea believe me or not hakuna dawa nzuri ya amani na furaha kama kusamehe wengi waliokaa na chuki na visasi mioyoni huishia kwenye magonjwa na matatizo.

naweza kusamehe jambo lolote kwa moyo mweupe bila kuendelea kumnanga aliyenikosea lucky me sababu najua kusamehe.😛opcorn:

Mh! Basi mshukuru sana mungu maana you are gifted.
 
Back
Top Bottom