Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Hapa ndo unajaribu kuona nini? Unapomuanika mwenzako mtaani unaonekana kituko. Mtandaoni sasa itakuwaje?
Ndo wanashuka vyeo kutoka uanaume na kuwa watoto wa kiume.

Kwa hizi fake ID sio kumuanika funguka tu mkuu wa kujifunza ajifunze hunijui, sikujui wala humjui nnae muanika hili nalo ni la kuhofia?
 
Ki
mi kwenye mahusiano nakuwaga mdogo sana ila sio kwenye maisha mengine hapo kuuomba msamaha sio rahisi kabisa,

kuna neno asante, pole na samahani haya matatu husaidia kudumisha mahusiano au kubomoa
Mie napenda kuleta uungwana na amani, ila upande wa pili usipotaka uungwana na amani, naputa mchana na natia DOLE, liwalo na liwe.
 
Ahsante Kapeace kuna kitu nimejifunza hapo.
 
Mtu
unajua tunatofautiana sana kutomba ni muhimu huwezi epuka lakini tomba kwa afya, unatombaje kama uko kwenye mashindano? mie nile nishibe niwe happy hali ya hewa inaruhusu sawa ila leo umetomba vitatu ksho hizo nyege zinatoka wapi?
Mtuache tuwatombe afya zinaturuhusu, kabla afya haijawa mgogoro ukitomba kimoja leo mpaka zipite wiki na lazima ukimaliza unywe panado kupoza maumivu ya misuli.
 
Huyo anajikomoa mwenyewe
 
Wanawake akili zenu mnazijua wenyewe, dawa yenu ni sisi kuwa watu tusio tabilika, binafsi sitabiliki... Nashukuru nae anajua hilo, nikiomba msamaha linakuwa limeishia hapo, ila kama atajikuta ndio mwamba ataona rangi zoote za duniani mpaka mbinguni.

Hili la kutotabirika linanisaidia sana hadi ye mwenyewe huwa anauliza hivi we huwa ukoje?
 
Oya wee, siachi, mie kama nimekosea kweli, namwambia tu samahani, hii tabia sijaona madhara yake, na kama akileta umbubu, nitamletea umbubu kiasi ataona dunia imemuegema yeye.

Siwezi kabisa mi nikikosea namwambia acha na hilo bana ndo imeisha hiyo na nna kauli yangu kwake huwa napenda kumwambia mwanaume hakosei na yeye ndo huwa anamalizia nikisema acha na hilo au yaishe ye husema mwanaume hakosei namalizia naam au umeona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…