Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
sasa sema hujisikii hauko tayar utasikia sasa mm nataka nikatombe wapiHuyo ana matatizo, atakuja kuumwa nyonga hataamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa sema hujisikii hauko tayar utasikia sasa mm nataka nikatombe wapiHuyo ana matatizo, atakuja kuumwa nyonga hataamini.
Mshauri apunguze. Atapata matatizo ya nyonga halafu itakuwa tafranisjajua labda, kwenye sekta zingine yuko vizur sana ila hapa jamani hapana
sio kua ni tatizoJamaa appetite iko juu ndio inatakiwa iwe hivyo
Ewaah, sasa hilo mie huwa naliita goli la ugenini, linanibeba kinooma, ye mwenyewe akija lazima aje na adabu kazishika mkononi zisimponyoke anajua zikiniponyoka mimi msala wake mzito.Hili la kutotabirika linanisaidia sana hadi ye mwenyewe huwa anauliza hivi we huwa ukoje?
naongea naye sana tuMshauri apunguze. Atapata matatizo ya nyonga halafu itakuwa tafrani
Yaani kila siku hiyo si afya. Nisingekubali ujinga huo.sasa sema hujisikii hauko tayar utasikia sasa mm nataka nikatombe wapi
Nyie ndio maana tunatakiwa tuwaoe wa4sasa sema hujisikii hauko tayar utasikia sasa mm nataka nikatombe wapi
Sasa na ambae kimoja kwa miezi 3 itakuwa ni ninisio kua ni tatizo
Mi kwa hasira nilizo nazo naweza kujikuta simu naizaba vibao nikijua ni yeye bwana.Kwa hizi fake ID sio kumuanika funguka tu mkuu wa kujifunza ajifunze hunijui, sikujui wala humjui nnae muanika hili nalo ni la kuhofia?
sina shida na hilo yeye aoe atakao ila sikwambii siku akiwa na hela za ziada yan awe ana mkwanja wa ziada umeingia kama faida atataka kutomba tu hilo halina mushkeli subiri siku mambo yaende hovyo mimi ndio napata likizo fupiNyie ndio maana tunatakiwa tuwaoe wa4
Vumilia huenda atakata moto mkuu,ndio anakaribia kwenye 40 na upuuzi
kimoja kwa miezi mitatu huyo n mgonjwa mimi nataka walau hata kila baada ya siku tatu sio kila leoSasa na ambae kimoja kwa miezi 3 itakuwa ni nini
Heee upo ndugu?Nasoma comments..
Nikikumbuka baadae 😃😃Mimi nikivurugwa ile asubuhi nimechelewa kazini, akii nabonyeza popote ili mradi dawa itoke😀😀
Umeongea jambo limeniyisha kidoogo, hivi karibuni napata pata maumivu ya nyonga ndio sababu ya kunjunja saana ujanani!? 🤔🤔Huyo ana matatizo, atakuja kuumwa nyonga hataamini.
Nikikumbuka baadae 😃😃Mimi nikivurugwa ile asubuhi nimechelewa kazini, akii nabonyeza popote ili mradi dawa itoke😀😀
huyu akikojoa kwanza ngoma hailali nishapeleleza sana huenda kuna midawa ananinywea lakini wala sema n mtu wa mazoezi ila huo ndio udhaifu yan mengine kwangu ya kawaida sana kama akibadili nguo chumban anatupa tu taulo kule boxer hayo yote kwangu s kitu ila ngoma hapo kitandaniVumilia huenda atakata moto mkuu,
Hata mie napemda kunjunjana kuliko kula, ukijilegeza nakunjunja tu.. 😂🤣
Lakini sio hiyo ya leo 3, kesho 3, keshokutwa 3, mtondogoo 3. 😂😂
Nipo mkuuHeee upo ndugu?