Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Kupika vyakula kwa kuchemsha, haloo huwa nachoka sana,kuna siku nimetoka safari nikaja na viazi mviringo nusu gunia nikiamini hapa itakuwa ni mwendo wa zege tu lkn huwezi amini vile viazi ndo ilikuwa breakfast ikawa kila siku asubuhi anachemsha anavileta hivyohivyo mpaka mzigo ukakata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umenena kweli mkuu.
Ndio anaweza kukuigizia. Ila kwa miaka miwili n ngumu kuficha vyote. Sema sisi wakati mwingine tunashindwa kutumia akili yetu tumetekwa.

Pengine kujipa tumaini kuwa atabadilika ndoani. Ama ntambadilisha.

Wanawake n wasanii sana. Wanaume tunapaswa kutumia sana akili. Inabidi kufanya maamuzi magumu yafanywe
Very true.

Japo pia kuna uwezekano mtu ukaishi naye kumbe mwenzio yupo kimkakati. anakuficha tabia zake mbayambaya hadi uingie laini umpe ndoa hapo ndo anaanzisha moto wake hadi maji uyaite mma.


Wakati nikiwa mdogo nilikuwa nashangaa kuna watu walikuwa wakibadilisha sana wanawake. unakuta saivi anaishi na mdada au mmama huyu ukija tena unakuta kamdump yule kaleta mwingine mpya, naye baada ya muda anamwacha analeta mwingine.

Lakini baada ya kupata umri nikagundua kuishi na mwanamke sio ishu ndogo aisee na ndomaana wanaume tunakufa mapema sana.

Hawa watu wengi wao ni pasua kichwa sana. yani usipojizima data tunakuimbia "[emoji445][emoji344]niagieni niagieni[emoji443][emoji444][emoji397]" sasaivi.

mi kuna kamoja hako huwa nakaangalia nakapotezea tu. yani unaweza kuwa umekaacha hom kamezungukwa na mazaga kibao ya kupika lakin mwenzio lazima atakupigia simu kuulizia leo apike nini. au ukirudi ubebe kile na kile cha kupika. yani kanaboa kweli. sijazoea maisha hayo. tena sometimes uko busy mwenyewe katikati ya mambo ya job unakuta kanapiga kukuuliza mambo ya misosi. yani kanapenda misosi balaa utafikiri kanakufa kesho.

mwanzoni nilidhani labda huyu atakuwa amemaliza vitu vya kula ndomaana anapiga simu baadaye nikagungua ndo alivyo.
 
Nimesoma weeee....! Sijaona mtu anayekabiliwa na mapungufu ninayokabiliana!!

Nimeoa msichana mzuri, tulikuwa tunafanana tabia kama kupenda kusikiliza aina fulani ya music pamoja. Kutoka outing, kupiga wine zetu wenyewe daaah!! Tukisafiri itaandaliwa collection ya music na humo garini ni raha tupu.

Sijui kakutana na mitume gani pumbafu!! Wamemfanya amebadilika totally, amekuwa mwoga wa maisha, anaogopa kufa kama yeye ndo atakufa pekee.

Nyumbani!! Hakuna kusikiliza music ni dhambi, no wine no anything!! Nyumba ipo kimyaaa....!!

Hakuna utani hakuna stories muda wote ni kuomba na kulia mpaka namshangaa kilichomkuta!!

Hakuna kujipodoa wala kusukia nywele bandia, dhambi!! Kuna manguo yao kama sketi za charanga yaan!! Kawa kama bibi fulani hivi!

Muda wote ni serious! Mkali kwa watoto mkali kwangu japo nilishamuwasha kwangu mie haleti ujinga wake.

Imebidi niwashike watoto (nipo nao close) maana niliona wanakuwa victims kwa hii tabia iliyokuja. Naye nimemuacha ajiendeshe mwenyewe kwanza akirudi kawaida tutaelewana.

Maisha nimeamua kuyafanya kama naishi alone kwanza ili mambo yaende ila ni kero kubwa saaana!!
Hapo kwa kuwashika watoto nimekusifu
 
Hahahahahah mie kuna namna nawindwa pia anahisi nagusa beki taraa huwa nachelewaga kuingia room natuliaga living room mda mrefu basi zitapigwa simu saingine ananyata anatokezea tu. Tukalale 🤣🤣🤣
Teh teh teh teh teh. Ngoja nae atajiongeza aanze kukaa kimtego. Unajua nini? Siku ya kukutwa, utakua living room hapo hapo wala hutoenda mbali. Na kwanza utapigwa picha ndo vurugu zifate.
Hapo ndo utamwambia umepitiwa na yule mdudu(wengine wanamuita shetani)
 
Wife wangu ni mvivu sana wa mizagamuo aisee na round hii nimechoka kubabake, yani anasababu mlima ndio ni mtumishi kaajiriwa na yupo bize lakini ikifika muda nianze kutaka kuleta maudundi yangu naishia kukasirika!!! Yeye akilala anakumbatiana na mtoto wake imeisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mimi sasa imebidi nipate kademu nje lakini ndo sina mizuka nako kabisaa
KATAA NDOA
 
Hahahahahah mie kuna namna nawindwa pia anahisi nagusa beki taraa huwa nachelewaga kuingia room natuliaga living room mda mrefu basi zitapigwa simu saingine ananyata anatokezea tu. Tukalale 🤣🤣🤣
Ukute kama ana kijamaa ki IT kakutegeshea ka camera hapo, siku ukizama uvinza, mwanzo mwisho picha ipo. Ndo utajutia kosa la kupenda sasa. Anaitwa mama yako na aadogo zako wa kike,na mashoga zake(kikao cha dhalula). Tena na wewe ukiwepo, kosa ni kumpiga hapo. Anafunga milango,TV inafunguliwa, na mgodi wako uko hapo(housegirl), anaiweka na kuicheza mwanzo mwisho.

Kitakachofata, utajua siku hiyo
 
Hahahahahah mie kuna namna nawindwa pia anahisi nagusa beki taraa huwa nachelewaga kuingia room natuliaga living room mda mrefu basi zitapigwa simu saingine ananyata anatokezea tu. Tukalale [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23] anatokezea kama jini kabula unashtuka yupo kweny Kona tu waaaah
 
Kupika vyakula kwa kuchemsha, haloo huwa nachoka sana,kuna siku nimetoka safari nikaja na viazi mviringo nusu gunia nikiamini hapa itakuwa ni mwendo wa zege tu lkn huwezi amini vile viazi ndo ilikuwa breakfast ikawa kila siku asubuhi anachemsha anavileta hivyohivyo mpaka mzigo ukakata

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
mwanamke mpole ndio lulu hio, huwa wakipenda ni burudani sana unajilia mema tu[emoji1787]


Kuna tofauti ya upole na ukimya.
Wengi huwa wanachanganya.

Wengi ni wakimya sio wapole na ndio maana wamejaa viburi na jeuri hujapata kujua!

Watu wa nje watazani fulani ako na mke msikivu kumbe thubutu nanga zinapaa mpaka basi.

Mke anataka ufanye kila kitu atavyo yeye hadi marafiki akuchagulie imagine?! [emoji848][emoji848]
 
Wanafanana tabia tu sio mmoja [emoji23][emoji23]usinitoe roho mie,kuna siku alinichosha kulalamika na kunung’unika nikamvuta kichwa nikamuwekea nyonyo mdomoni anyonye Halaf nikawa nambembeleza kama mtoto huku namtikisa alale akalala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] last born kibokooo
Kumbe mtaalam hivi?
 
hahahahah
Kuna tofauti ya upole na ukimya.
Wengi huwa wanachanganya.

Wengi ni wakimya sio wapole na ndio maana wamejaa viburi na jeuri hujapata kujua!

Watu wa nje watazani fulani ako na mke msikivu kumbe thubutu nanga zinapaa mpaka basi.

Mke anataka ufanye kila kitu atavyo yeye hadi marafiki akuchagulie imagine?! [emoji848][emoji848]
huyo sio mke bali ni Baraza la NEC 🤣
 
Ukute kama ana kijamaa ki IT kakutegeshea ka camera hapo, siku ukizama uvinza, mwanzo mwisho picha ipo. Ndo utajutia kosa la kupenda sasa. Anaitwa mama yako na aadogo zako wa kike,na mashoga zake(kikao cha dhalula). Tena na wewe ukiwepo, kosa ni kumpiga hapo. Anafunga milango,TV inafunguliwa, na mgodi wako uko hapo(housegirl), anaiweka na kuicheza mwanzo mwisho.

Kitakachofata, utajua siku hiyo
hahahahah hakuna kitu kama hicho 🤣 sema nainjoy kuona kuna kitu kinaendelea kichwani mwake kuhusu mimi. Ni nzuri kwa afya ya mahusiano
 
Teh teh teh teh teh. Ngoja nae atajiongeza aanze kukaa kimtego. Unajua nini? Siku ya kukutwa, utakua living room hapo hapo wala hutoenda mbali. Na kwanza utapigwa picha ndo vurugu zifate.
Hapo ndo utamwambia umepitiwa na yule mdudu(wengine wanamuita shetani)
hahahahah sasa beki 3 anakuwa nae kashalala ndio uzuri
 
Back
Top Bottom