sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
So mapema kabisa mtu anapiga simu akilalamika mambo yamebana so anahitaji backup, and i said why not if it is possible to put smile to someone? After all he will pay back when things are okey but.
Imeniuma sana, mtu kukulilia shida halafu kumbe shida yenyewe ni ya uzinzi tu, nimeapa hawa watu wawili kuwaweka kwenywe black list unless niwakute wamelegea kwa njaa au wako hospital wanaumwa ndio naweza kutoa pesa yangu otherwise sitafanya hivyo.
Sababu za kunipa hasira ni kama zifuatavyo:-
1. Sex sio an emergence issue, kama unajua huna hela unaweza kutulia
2. Wameniona mimi mjinga naweza toa hela wakafanye ujinga, while am not, i did it for with god faith.
And I thank them for a lesson…
Imeniuma sana, mtu kukulilia shida halafu kumbe shida yenyewe ni ya uzinzi tu, nimeapa hawa watu wawili kuwaweka kwenywe black list unless niwakute wamelegea kwa njaa au wako hospital wanaumwa ndio naweza kutoa pesa yangu otherwise sitafanya hivyo.
Sababu za kunipa hasira ni kama zifuatavyo:-
1. Sex sio an emergence issue, kama unajua huna hela unaweza kutulia
2. Wameniona mimi mjinga naweza toa hela wakafanye ujinga, while am not, i did it for with god faith.
And I thank them for a lesson…