Ni mara ya pili namkopesha mtu pesa kumbe anataka akalipe Logde

Ni mara ya pili namkopesha mtu pesa kumbe anataka akalipe Logde

Sababu za kunipa hasira ni kama zifuatavyo:-
1. Sex sio an emergence issue, kama unajua huna hela unaweza kutulia
2. Wameniona mimi mjinga naweza toa hela wakafanye ujinga, while am not, i did it for with god faith.
Hela ni zako,
matumizi ni yao,
ni kama wakikurejeshea waanze kukupangia matumuzi, impossible
Acha ukuda!
 
Ifike mahali tuheshimu privacy ya mtu
Sasa ndugu mimi nakuja kwako nikope elfu moja ila sikutajii shida ila nikikutajia shida ila hela nikafanyia kitu kingine wewe inakuuma nini ilihali nitakulipa ?

Huu ni uswahili ndugu , wewe toa hela nimalize shida yangu Mnyazi akuongezee ulipotoa ila usinipangie matumizi .

Sio sawa narudia sio sawa , yaani nikikopa basi nisiende guest ? Nisinywe pombe ? Ndugu kwani wewe haufanyi ngono ? Je mimi kufanya ngono ni dhambi ? Je wewe pombe hunywi ? Hata kama hunywi kwani hakuna vitu vya kipuuzi ambavyo unatumia pesa embu kuweni serious yaani ukitaka kunikopesha unataka nikueleze shida yangu ya ukweli ? Come on

Tuache uswahili ndugu sanalii pole kwa dispappointment hiyo ila jifunze ukitoa mkopo au msaada usiwe na hitaji la kuingilia faragha ya uliyemsaidia .

TEKERI
 
Kila mtu na vipaumbele vyake so ukimkopesha mtu usimpangie maamuzi wewe Kama riba mlime lakini usimpangie chakufanyia.
Hata kama nimekukopesha na faini lkn nikijua unaenda kurombea sikupi
 
So mapema kabisa mtu anapiga simu akilalamika mambo yamebana so anahitaji backup, and i said why not if it is possible to put smile to someone? After all he will pay back when things are okey but.

Imeniuma sana, mtu kukulilia shida halafu kumbe shida yenyewe ni ya uzinzi tu, nimeapa hawa watu wawili kuwaweka kwenywe black list unless niwakute wamelegea kwa njaa au wako hospital wanaumwa ndio naweza kutoa pesa yangu otherwise sitafanya hivyo.

Sababu za kunipa hasira ni kama zifuatavyo:-
1. Sex sio an emergence issue, kama unajua huna hela unaweza kutulia
2. Wameniona mimi mjinga naweza toa hela wakafanye ujinga, while am not, i did it for with god faith.

And I thank them for a lesson…
Unahusika kwenye kukopesha, na si mtatumizi ya ulichokikopesha..!! Yaani unataka umkopeshe hela mtu halafu umpangie cha kufanya??? Huwezi mkopesha acha, mwambie huna, full stop..!!
 
So mapema kabisa mtu anapiga simu akilalamika mambo yamebana so anahitaji backup, and i said why not if it is possible to put smile to someone? After all he will pay back when things are okey but.

Imeniuma sana, mtu kukulilia shida halafu kumbe shida yenyewe ni ya uzinzi tu, nimeapa hawa watu wawili kuwaweka kwenywe black list unless niwakute wamelegea kwa njaa au wako hospital wanaumwa ndio naweza kutoa pesa yangu otherwise sitafanya hivyo.

Sababu za kunipa hasira ni kama zifuatavyo:-
1. Sex sio an emergence issue, kama unajua huna hela unaweza kutulia
2. Wameniona mimi mjinga naweza toa hela wakafanye ujinga, while am not, i did it for with god faith.

And I thank them for a lesson…
Una roho mbaya sana blaza, hili mbona mabaharia tunapigana tafu sana kwenye mipango ya kwenda kunyandu wewe vipi unaka wakapige punyeto?
 
Una roho mbaya sana blaza, hili mbona mabaharia tunapigana tafu sana kwenye mipango ya kwenda kunyandu wewe vipi unaka wakapige punyeto?
Sina Roho mbaya, kama amekwama na watoto hawajala au kuna mtu anaumwa hapo sawa, ila sio uniazime pesa ya iufanyia uzinzi, sina ndo nimefuta ukaribu na watu wa aina hii. Am not of that type
 
Sina Roho mbaya, kama amekwama na watoto hawajala au kuna mtu anaumwa hapo sawa, ila sio uniazime pesa ya iufanyia uzinzi, sina ndo nimefuta ukaribu na watu wa aina hii. Am not of that type
Ukuda tu umekujaa
 
Think twice
Ukiona kijana anaomba hela most of them wanatumia Pesa kwa ajili ya Ngono tu na sio kingine ni kuwa makini Sana usipende kutoa hela yako ili Mtu Afanye dhambi !
Ni kweli mkuu,kuna jamaa tunafanya nae kazi hapa ofisini,sasa walipata trip ya kwenda dar kikazi,sasa mkurugenzi akawalipia ticket ya ndege kutokea mwanza,kijana akawa anahaha kutafuta pesa,kumbe zile pesa anazotafuta anataka akamlipie ticket malaya wake asafiri nae wakale bata,kufika dar ni anapost tu sehemu za starehe tu ndio watu kutuambia hela aliyokuwa anaihangaikia ilikuwa ni ili akafanyie starehe
 
Ni kweli mkuu,kuna jamaa tunafanya nae kazi hapa ofisini,sasa walipata trip ya kwenda dar kikazi,sasa mkurugenzi akawalipia ticket ya ndege kutokea mwanza,kijana akawa anahaha kutafuta pesa,kumbe zile pesa anazotafuta anataka akamlipie ticket malaya wake asafiri nae wakale bata,kufika dar ni anapost tu sehemu za starehe tu ndio watu kutuambia hela aliyokuwa anaihangaikia ilikuwa ni ili akafanyie starehe
Ninachokataa mimi ni hii habari ya kupangiana matumizi ya hela, huo ni ushamba na ukuda
 
So mapema kabisa mtu anapiga simu akilalamika mambo yamebana so anahitaji backup, and i said why not if it is possible to put smile to someone? After all he will pay back when things are okey but.

Imeniuma sana, mtu kukulilia shida halafu kumbe shida yenyewe ni ya uzinzi tu, nimeapa hawa watu wawili kuwaweka kwenywe black list unless niwakute wamelegea kwa njaa au wako hospital wanaumwa ndio naweza kutoa pesa yangu otherwise sitafanya hivyo.

Sababu za kunipa hasira ni kama zifuatavyo:-
1. Sex sio an emergence issue, kama unajua huna hela unaweza kutulia
2. Wameniona mimi mjinga naweza toa hela wakafanye ujinga, while am not, i did it for with god faith.

And I thank them for a lesson…
Lakini si amekopa, au ni umempa bure?[emoji28][emoji28]
 
Wanaume tuna kikao leo saa 7 mchana ,,maana hili gono litatuua sasa
 
Back
Top Bottom