Ni mara ya pili sasa nachapiwa

Ni mara ya pili sasa nachapiwa

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Habari wakuu

Katika maisha yangu nimekua nikiamini mwanamke akiwa na kazi au biashara ya kutoka asubuhi na kurudi jioni kuongea na wateja wa kiume katika biashara basi ni rahisi kuliwa

Na mimi nilivyoumbwa na wivu nikaona bora nijinyakulie mtu asiyekuwa na kazi yani awe mama wa nyumbani nikachukua mtoto mmoja mbichiii wa kizaramo lakini nifupishe story aliliwa palepale nyumbani kwenye kitanda changu nikamtimua.

Nikakaa kama miaka miwili ya usingo baadae nikavuta pisi moja teketeke ya kinyaki ina miaka 22 haina kazi nikawa naiacha nyumbani nikiamini kua ikiwa inajishughulisha wahuni watanichapia

Lakini mpaka naandika uzi huu kwa kifupi nimetoka kufumania
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 angekuwa singlemom hapo🙆🙆🙆🙆...pole mkuu jaribu wenye mishe zao au waajiriwa.Sikuzote mwanamke au mwanaume akikaa tu bila kujishughulisha hana Cha kuwaza zaidi ya maovu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 angekuwa singlemom hapo🙆🙆🙆🙆...pole mkuu jaribu wenye mishe zao au waajiriwa.Sikuzote mwanamke au mwanaume akikaa tu bila kujishughulisha hana Cha kuwaza zaidi ya maovu
Sio kweli kuwaza maovu ni tabia tu ya mtu
 
Pole Sana...
Achana na kuolea watu ...
Tafuta alie bize mnarudi wote jioni
Hovyooooooo kwani huyo aliye busy nawe ukimpa Upenyo tu kidogo Wajuba hawawezi Kumkojolea?

Mwambieni huyo Jamaa ukweli kuwa Wanawake hawana Dhamana, hawachungiki hivyo Yeye akiwa nae Kitandani awajibike Kivyake na atosheke aendelee na Ratiba zake za Kimaisha na kamwe asipoteze muda wake Kumlinda au Kumfuatilia.

Mwanamke hukumkuta Bikira halafu unataka kuanza Kumchunga. Kwa Upuuzi huu mtakaziwa mno na sana tu hadi Akili ziwakae sawa?

Cc: Nyamwage
 
Habari wakuu

Katika maisha yangu nimekua nikiamini mwanamke akiwa na kazi au biashara ya kutoka asubuhi na kurudi jioni kuongea na wateja wa kiume katika biashara basi ni rahisi kuliwa

Na mimi nilivyoumbwa na wivu nikaona bora nijinyakulie mtu asie kua na kazi yani awe mama wa nyumbani nikachukua mtoto mmoja mbichiii wa kizaramo lakini nifupishe story aliliwa palepale nyumbani kwenye kitanda changu nikamtimua

Nikakaa kama miaka miwili ya usingo baadae nikavuta pisi moja teke teke ya kinyaki ina miaka 22 haina kazi nikawa naiacha nyumbani nikiamini kua ikiwa inajishughulisha wahuni watanichapia

Lakini mpaka naandika uzi huu kwa kifupi nimetoka kufumania
Kifupi hauna ny3ge wala haupo romantinki kwa hizo pisi.

Mwanamke aliye timamu akishaona anasikilizwa na unamjali huwa anatulia.
 
Back
Top Bottom