Ni mara ya pili sasa nachapiwa

Ni mara ya pili sasa nachapiwa

Kifupi hauna ny3ge wala haupo romantinki kwa hizo pisi.

Mwanamke aliye timamu akishaona anasikilizwa na unamjali huwa anatulia.
Nani Kakudanganya kuwa ukiwa Unamsikiliza Mwanamke na Kumjali kwa kila Kitu hukanyagiwi?

Kuna Msanii wenu Comedian (hivi sasa yuko Redioni) Yeye hufanya yote haya ( Uliyoyasema ) kwa Mkewe ila bado kulikuwa na Mjuba anamkanyagia tena hadi kwa Mpalange ( Rough Road ) bila kujua hadi Mhusika alipoamua Kujitanguliza Kaburini Mwenyewe.

Kuna Mkuu wenu wa Wilaya Mmoja nae alifanya usemavyo ( Kumsikiliza na Kumjali Mkewe ) kilichofuatia Wajuba si tu Walimkazia bali na Mimba wamempa na sasa nadhani yuko hatua za mwisho za Kuilea hiyo Mimba au tayari analea Bao/ Goli la Mwanaume Mwenzake nikimaanisha Mtoto asiye wake ameshazaliwa.

Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma alikuwa na Mkewe wa Pili ambaye alikuwa Akimpenda ( kwa Kumjali na Kumsikiliza ) ila cha Kushangaza bado kuna Mmoja wa Bodyguards wake alikuwa Akimkanyagia hadi alipokuja Kushtuka baadae.

Kwa huu Upuuzi mtakanyagiwa sana.
 
Habari wakuu

Katika maisha yangu nimekua nikiamini mwanamke akiwa na kazi au biashara ya kutoka asubuhi na kurudi jioni kuongea na wateja wa kiume katika biashara basi ni rahisi kuliwa

Na mimi nilivyoumbwa na wivu nikaona bora nijinyakulie mtu asie kua na kazi yani awe mama wa nyumbani nikachukua mtoto mmoja mbichiii wa kizaramo lakini nifupishe story aliliwa palepale nyumbani kwenye kitanda changu nikamtimua

Nikakaa kama miaka miwili ya usingo baadae nikavuta pisi moja teke teke ya kinyaki ina miaka 22 haina kazi nikawa naiacha nyumbani nikiamini kua ikiwa inajishughulisha wahuni watanichapia

Lakini mpaka naandika uzi huu kwa kifupi nimetoka kufumania
Pole Mkuu, jaribu kutafuta mwenye kazi
 
Liangalie na hili nalo. Nani Kakudanganya kuwa ukiwa Unamsikiliza Mwanamke na Kumjali kwa kila Kitu hukanyagiwi?

Kuna Msanii wenu Comedian ( hivi sasa yuko Redioni ) Yeye hufanya yote haya ( Uliyoyasema ) kwa Mkewe ila bado kulikuwa na Mjuba anamkanyagia tena hadi kwa Mpalange ( Rough Road ) bila kujua hadi Mhusika alipoamua Kujitanguliza Kaburini Mwenyewe.

Kuna Mkuu wenu wa Wilaya Mmoja nae alifanya usemavyo ( Kumsikiliza na Kumjali Mkewe ) kilichofuatia Wajuba si tu Walimkazia bali na Mimba wamempa na sasa nadhani yuko hatua za mwisho za Kuilea hiyo Mimba au tayari analea Bao / Goli la Mwanaume Mwenzake nikimaanisha Mtoto asiye wake ameshazaliwa.

Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma alikuwa na Mkewe wa Pili ambaye alikuwa Akimpenda ( kwa Kumjali na Kumsikiliza ) ila cha Kushangaza bado kuna Mmoja wa Bodyguards wake alikuwa Akimkanyagia hadi alipokuja Kushtuka baadae.

Kwa huu Upuuzi mtakanyagiwa sana.
Asiyejua mana haambiwi maana🤣
 
Jibu haya maswali nikushauri:-
  • shoo huwa unapiga kwa dakika ngapi
  • Huwa unaachia magoli mangapi kwa siku
  • Ina ukubwa gani, kitendea kazi chako
 
Adhabu IPI inastahili kwa mwanamke msaliti kwenye ndoa, msaada tafadhali
 
Habari wakuu

Katika maisha yangu nimekua nikiamini mwanamke akiwa na kazi au biashara ya kutoka asubuhi na kurudi jioni kuongea na wateja wa kiume katika biashara basi ni rahisi kuliwa

Na mimi nilivyoumbwa na wivu nikaona bora nijinyakulie mtu asiyekuwa na kazi yani awe mama wa nyumbani nikachukua mtoto mmoja mbichiii wa kizaramo lakini nifupishe story aliliwa palepale nyumbani kwenye kitanda changu nikamtimua.

Nikakaa kama miaka miwili ya usingo baadae nikavuta pisi moja teketeke ya kinyaki ina miaka 22 haina kazi nikawa naiacha nyumbani nikiamini kua ikiwa inajishughulisha wahuni watanichapia

Lakini mpaka naandika uzi huu kwa kifupi nimetoka kufumania
Demu wa kukaa Tu home hao wanaliwa mno mkuu, goli kipa utachapiwa mbaya , demu mwenye kaz ambaye yupo busy hao huwa Wana michepuko huko makazini wanaliwa Kwa step Sana , angalau hao , Ila goli kipa big no
 
Back
Top Bottom