Ni mara ya pili sasa nachapiwa

Ni mara ya pili sasa nachapiwa

Habari wakuu

Katika maisha yangu nimekua nikiamini mwanamke akiwa na kazi au biashara ya kutoka asubuhi na kurudi jioni kuongea na wateja wa kiume katika biashara basi ni rahisi kuliwa

Na mimi nilivyoumbwa na wivu nikaona bora nijinyakulie mtu asiyekuwa na kazi yani awe mama wa nyumbani nikachukua mtoto mmoja mbichiii wa kizaramo lakini nifupishe story aliliwa palepale nyumbani kwenye kitanda changu nikamtimua.

Nikakaa kama miaka miwili ya usingo baadae nikavuta pisi moja teketeke ya kinyaki ina miaka 22 haina kazi nikawa naiacha nyumbani nikiamini kua ikiwa inajishughulisha wahuni watanichapia

Lakini mpaka naandika uzi huu kwa kifupi nimetoka kufumania
Kiufupi, kila mtu/jamii ina hulka yake, kama kuoa na kuacha kwako si issue basi nakushauri kaoe watu hawa, waSukuma wa Mwanza au Geita, na siyo Simiyu Tabora na Shinyanga, kaoe mNyakyusa wa Mbeya au mwisho wa yote kaoe Muha wa Kigoma

Angalizo:- Dunia imebadilika sana ktk jamii kubwa hapa Africa, binadamu wanaishi kulingana na wanachoona kwenye simu na TV kiasi kwamba mwanamke/mwanaume anaweza kua anapata kila kitu kwake lakini bado akachepuka Kwa upumbavu wa tamaa tu, hasa mijini kumekua hapafai na ndiyo sababu ya ongezeko la single mama kiasi kikubwa sana, kwanza wamekua na midomo mirefu kupita kiasi, kitu kidogo atamuijia mwanaume juu kana kwamba anajua sana Dunia na hata ukimuacha anaishia kua Malaya na omba omba wa hovyo sana, mwanamke wa kiTanzania sasa hivi baadhi yao wanaweza kuingia tu kwenye kiyoo akajitazama na Kisha akatoka nje akamtukana mume wake, mume akikaza akampiga chini, anaanza kuzurula akidhani umbo lake litampa kula, anajikuta alisahau kua pesa Kwa wanaume ni ngumu na aliyejitoa kuishi na mwanamke ni mtu aliye amua kuliski maisha na anajitahidi sana, wengine hawataki hiyo shida, wanatafuta mwanamke wa kupiga Kisha wanampa elfu kumi aende zake, ukiachana nae miezi sita tu majuto yake hua ni makubwa sana, ila mwanamke anaye cheat achana nae haraka maana mwanamke halisi mwenye kujua maisha hua hafanyi hivyo isipokua wale Malaya Malaya wadangaji

Siku njema
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 angekuwa singlemom hapo🙆🙆🙆🙆...pole mkuu jaribu wenye mishe zao au waajiriwa.Sikuzote mwanamke au mwanaume akikaa tu bila kujishughulisha hana Cha kuwaza zaidi ya maovu
Bill clinton alikuwa ana kazi ya kirun dunia lakini alipata mwanya wakulambwa de liboloz na monica.
Hii kitu tamuuu na raha yake uonje sample tofauti tofauti
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 angekuwa singlemom hapo🙆🙆🙆🙆...pole mkuu jaribu wenye mishe zao au waajiriwa.Sikuzote mwanamke au mwanaume akikaa tu bila kujishughulisha hana Cha kuwaza zaidi ya maovu
Kuchapiwa/kuchepuka ni nature ya mtu. Hadi waliokutwa na bikra wanachepuka 😅
 
Hovyooooooo kwani huyo aliye busy nawe ukimpa Upenyo tu kidogo Wajuba hawawezi Kumkojolea?

Mwambieni huyo Jamaa ukweli kuwa Wanawake hawana Dhamana, hawachungiki hivyo Yeye akiwa nae Kitandani awajibike Kivyake na atosheke aendelee na Ratiba zake za Kimaisha na kamwe asipoteze muda wake Kumlinda au Kumfuatilia.

Mwanamke hukumkuta Bikira halafu unataka kuanza Kumchunga. Kwa Upuuzi huu mtakaziwa mno na sana tu hadi Akili ziwakae sawa?

Cc: Nyamwage
Nawee nae! Kwani ukimbikiri wewe hauwezi kukaziwa?
 
Habari wakuu

Katika maisha yangu nimekua nikiamini mwanamke akiwa na kazi au biashara ya kutoka asubuhi na kurudi jioni kuongea na wateja wa kiume katika biashara basi ni rahisi kuliwa

Na mimi nilivyoumbwa na wivu nikaona bora nijinyakulie mtu asiyekuwa na kazi yani awe mama wa nyumbani nikachukua mtoto mmoja mbichiii wa kizaramo lakini nifupishe story aliliwa palepale nyumbani kwenye kitanda changu nikamtimua.

Nikakaa kama miaka miwili ya usingo baadae nikavuta pisi moja teketeke ya kinyaki ina miaka 22 haina kazi nikawa naiacha nyumbani nikiamini kua ikiwa inajishughulisha wahuni watanichapia

Lakini mpaka naandika uzi huu kwa kifupi nimetoka kufumania
Pia mwamba na wewe binafsi ni wa kujiangalia

Haina games zako ni dhaifu au hela yako ya maisha ni chache
 
Hovyooooooo kwani huyo aliye busy nawe ukimpa Upenyo tu kidogo Wajuba hawawezi Kumkojolea?

Mwambieni huyo Jamaa ukweli kuwa Wanawake hawana Dhamana, hawachungiki hivyo Yeye akiwa nae Kitandani awajibike Kivyake na atosheke aendelee na Ratiba zake za Kimaisha na kamwe asipoteze muda wake Kumlinda au Kumfuatilia.

Mwanamke hukumkuta Bikira halafu unataka kuanza Kumchunga. Kwa Upuuzi huu mtakaziwa mno na sana tu hadi Akili ziwakae sawa?

Cc: Nyamwage

Sasa tuwafatilie au tusiwafatilie ?
 
Back
Top Bottom