Na hapo bado hajapewa Kibali na mama mwenye nyumba na tayari amelewaInaonyesha hata Wakati unaandika ulikuwa tungi [emoji16] maana maelezo haya janyooka
1-Nikiondoka mlango nisifunge!Mimi niliambiwa kama nataka kulewa home nataka kumnunulia mama mwenye nyumba bia zake ili anioe kibali
Wewe ulikutana na sheria ipi ya ajabu?
Hahaha wanawake huwa mnamajungu sana nimecheka eti fud testaMama mwenye nyumba alikuwa Food taster[emoji119][emoji119]Nikipika chochote lazima nimpe akionje. Usipompa ananuna.
Niliona hii sehemu mama mwenye nyumba anaomba maharage kwa mpangaji wake nilishangaa sana yaan kapika ugali kisha mboga anaomba kwa jiraniMama mwenye nyumba alikuwa Food taster[emoji119][emoji119]Nikipika chochote lazima nimpe akionje. Usipompa ananuna.