Ni masharti gani ya ajabu uliwahi kukutana nayo nyumba ya kupanga?

Ni masharti gani ya ajabu uliwahi kukutana nayo nyumba ya kupanga?

Umepata sifuri...Uzi huu haukuhusu wewe ambaye hujawahi kupanga😀😀
hahahaa ndio maana nasema hii comment ihifadhiwe kwa matumizi ya baadae nikipanga tu lazima nikutane na vituko hivyo nitakuja kuleta update!
😁😁😁
 
Ni nyumba ya vyumba sita na wapangaji tupo sita,adhabu inaanzia kwenye umeme,hauruhusiwi kununua umeme inatakiwa umpatie mwenye nyumba pesa yeye ndo atanunua na ukijitia umwamba wa kununua ukimpeleka token hakubali
Choo ni kimoja na hakuna bomba ilhali nyumba ina maji ya dawasco,hivyo yeye ndo anachukua maji kujaza chooni ,ndoo moja asubuhi,moja mchana na moja jioni, na maji yakiisha kabla haweki na mtachambia makaratasi......hapa nasubiria Kodi yangu iishe nihame
 
Ni nyumba ya vyumba sita na wapangaji tupo sita,adhabu inaanzia kwenye umeme,hauruhusiwi kununua umeme inatakiwa umpatie mwenye nyumba pesa yeye ndo atanunua na ukijitia umwamba wa kununua ukimpeleka token hakubali
Choo ni kimoja na hakuna bomba ilhali nyumba ina maji ya dawasco,hivyo yeye ndo anachukua maji kujaza chooni ,ndoo moja asubuhi,moja mchana na moja jioni, na maji yakiisha kabla haweki na mtachambia makaratasi......hapa nasubiria Kodi yangu iishe nihame
Hiyo gereza.
Nashukuru katika kipindi chote cha kupanga sijawahi kutana na vimbwanga.
Na nilijiwekea kanuni uwa sipangi nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi maeneo hayo na ambayo mwenye nyumba anaitegemea kuendesha maisha yake.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
Aisee hii principle ninayo ila hapa nilipoamia sijui nimejichanganya nin

Ogopa kupanga nyumba ambayo Mweny nyumba anaitegemea pekee kama source of income pia anaishi apo

Kodi ikiisha hapa natembea maana anapenda mambo ya top up
Hiyo gereza.
Nashukuru katika kipindi chote cha kupanga sijawahi kutana na vimbwanga.
Na nilijiwekea kanuni uwa sipangi nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi maeneo hayo na ambayo mwenye nyumba anaitegemea kuendesha maisha yake.
 
Hiyo gereza.
Nashukuru katika kipindi chote cha kupanga sijawahi kutana na vimbwanga.
Na nilijiwekea kanuni uwa sipangi nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi maeneo hayo na ambayo mwenye nyumba anaitegemea kuendesha maisha yake.
Kujua kuwa mwenyenyumba haishi humo ni rahisi ila kujua kuwa haitegemei hiyo nyumba kuendeshea maisha ni ngumu

Kuna mtu wangu alipanga nyumba ambayo mwenyewe haishi hapo ila alikuwa anaitegemea kuliko kawaida kiasi cha kukosa uvumilivu,akiumwa hata mafua mjue kuwa matatizo yanakuja kwenu alikuwa anaomba Kodi kabla (top up)na kwa kero kubwa,ikifika wakati wa kulipia ada ndo usiseme.Ikiwa muoga na uwezo unakuruhusu ni bora kujenga
 
Mimi niliambiwa kama nataka kulewa home nataka kumnunulia mama mwenye nyumba bia zake ili anipe kibali.

Wewe ulikutana na sheria ipi ya ajabu?
"mimi niliambiwa kama nataka kulewa home nataka kumnunulia mama mwenye nyumba bia zake ili anipe kibali"
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]

Mkuu umeandika vitu gani hapa maana hata sio sarufi ya kiswahili so hata maana haisomeki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisiende chooni kuanzia saa sita usiku,kuna mpangaji alijichanganya akaenda,kilichomkuta sisemi,kufuru na uchawi duniani vipo,wanaokataa hawajawahi kuyaona ya nje ya pazia ya dunia hii,hawajawahi kukutwa na baya lolote nje ya dunia hii
 
Mimi niliambiwa kama nataka kulewa home nataka kumnunulia mama mwenye nyumba bia zake ili anipe kibali.

Wewe ulikutana na sheria ipi ya ajabu?
Kung'oa matembele na Kuacha kulima matembele mara moja. Kipindi hiko Sina kazi. Sasa yale matembele angalau watoto walikuwa Wana uhakika wa kula ugali matembele kila siku. Nikaambiwa.... Sitaki kuona huo uchafu wa mamboga mboga unalima kwenye nyumba yangu.... 😭😂

Nikikumbuka.... Nacheka Sana. Glory to God anayetuvusha salama katika mapito mbalimbali maishani.
 
Back
Top Bottom