Ni masharti gani ya ajabu uliwahi kukutana nayo nyumba ya kupanga?

Ni masharti gani ya ajabu uliwahi kukutana nayo nyumba ya kupanga?

Nasoma comments za wenye nyumba
 
Hii ni kwa wapangaji wote, kama wewe haujapanga basi umepangisha mtu.

Hebu tushirikishane sheria mbovu na za kukera ulizowahi kukutana nazo katika nyumba za kupanga.

Kama wewe ni mpangishaji tuambie sheria za hovyo ulizowahi kuwawekea wapangaji wako.
Unakwenda kunya, wapangaji wenzako na watoto wao wote wako karibu na mlango wa choo. Ukitoka wanakuangalia kama mwizi vile.
 
Maeneo ya kawe choo kimejaa mama mwenye nyumba anataka wapangaji tuchangshane kuzibua kisa yeye hakai pale na tunaojaza choo ni wapangaj.dadekii nligoma kwan vepe mm nyumba natembea nayo kwa wallet yang ntapanga sehemu ingine
 
Back
Top Bottom