Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Mpangaji wangu Toka aondoke mwaka Jana mwezi wa kumi mpaka Leo ajarudi, na Kodi ajalipa , na vyombo kaviacha, Nataka nipige mnada vyombo vyake
Mtafute, what if kapatwa matatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpangaji wangu Toka aondoke mwaka Jana mwezi wa kumi mpaka Leo ajarudi, na Kodi ajalipa , na vyombo kaviacha, Nataka nipige mnada vyombo vyake
Nishamtafuta sana , hapokei simu na baadhi ya rafiki zake Wanasema eti harudi , Mana ameanza maisha mapya huko aliko, nahisi ameniachia ivi vitu vyake nivibinafisheMtafute, what if kapatwa matatizo
Hii inatokea Sana.Mpangaji wangu Toka aondoke mwaka Jana mwezi wa kumi mpaka Leo ajarudi, na Kodi ajalipa , na vyombo kaviacha, Nataka nipige mnada vyombo vyake
Unakwenda kunya, wapangaji wenzako na watoto wao wote wako karibu na mlango wa choo. Ukitoka wanakuangalia kama mwizi vile.Hii ni kwa wapangaji wote, kama wewe haujapanga basi umepangisha mtu.
Hebu tushirikishane sheria mbovu na za kukera ulizowahi kukutana nazo katika nyumba za kupanga.
Kama wewe ni mpangishaji tuambie sheria za hovyo ulizowahi kuwawekea wapangaji wako.
Unakwenda kunya, wapangaji wenzako na watoto wao wote wako karibu na mlango wa choo. Ukitoka wanakuangalia kama mwizi vile.
Haya basi tuseme kukata gogo, umeridhika?Wabongo maneno makali eti kunya