Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huu uzi mtamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sharti kila ijumaa usiku mnaamshwa kuimba pambio za kuwaita wakuu alafu kila mtu anapigiwa ramli kama ulichepuka unaambiwa mbele ya mkeo
Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
Pole sana kwa yaliyopitaKung'oa matembele na Kuacha kulima matembele mara moja. Kipindi hiko Sina kazi. Sasa yale matembele angalau watoto walikuwa Wana uhakika wa kula ugali matembele kila siku. Nikaambiwa.... Sitaki kuona huo uchafu wa mamboga mboga unalima kwenye nyumba yangu.... 😭😂
Nikikumbuka.... Nacheka Sana. Glory to God anayetuvusha salama katika mapito mbalimbali maishani.
AiseeMimi niliambiwa kama nataka kulewa home nataka kumnunulia mama mwenye nyumba bia zake ili anipe kibali.
Wewe ulikutana na sheria ipi ya ajabu?
AiseeNi nyumba ya vyumba sita na wapangaji tupo sita,adhabu inaanzia kwenye umeme,hauruhusiwi kununua umeme inatakiwa umpatie mwenye nyumba pesa yeye ndo atanunua na ukijitia umwamba wa kununua ukimpeleka token hakubali
Choo ni kimoja na hakuna bomba ilhali nyumba ina maji ya dawasco,hivyo yeye ndo anachukua maji kujaza chooni ,ndoo moja asubuhi,moja mchana na moja jioni, na maji yakiisha kabla haweki na mtachambia makaratasi......hapa nasubiria Kodi yangu iishe nihame
...sasa kwa nini husemi? Kwani unahusika? Unamfichia nani Siri wakati Wadau wamesema watiririke hapa kinachowapata kwenye nyumba za kupana ??[emoji52]Nisiende chooni kuanzia saa sita usiku,kuna mpangaji alijichanganya akaenda,kilichomkuta sisemi,kufuru na uchawi duniani vipo,wanaokataa hawajawahi kuyaona ya nje ya pazia ya dunia hii,hawajawahi kukutwa na baya lolote nje ya dunia hii
Inatosha sana mkuu,niishie hapo tu...sasa kwa nini husemi? Kwani unahusika? Unamfichia nani Siri wakati Wadau wamesema watiririke hapa kinachowapata kwenye nyumba za kupana ??[emoji52]
Hiyo nyumba ningerithishwa kabisa chumba[emoji3]Mimi niliambiwa kama nataka kulewa home nataka kumnunulia mama mwenye nyumba bia zake ili anipe kibali.
Wewe ulikutana na sheria ipi ya ajabu?
Hiyo gereza.
Nashukuru katika kipindi chote cha kupanga sijawahi kutana na vimbwanga.
Na nilijiwekea kanuni uwa sipangi nyumba ambayo mwenye nyumba anaishi maeneo hayo na ambayo mwenye nyumba anaitegemea kuendesha maisha yake.
Kuambiwa siruhusiwi kuingiza mgeni wa kike chumbani kwangu, Wala kuingia chumba cha mpangaji wa kike ambaye hajaolewa Wala nisiwe naongea na mke wake hiyo ilikuwa kipindi Niko Chuo second year nimepanga mitaa Fulani ya kekoMimi niliambiwa kama nataka kulewa home nataka kumnunulia mama mwenye nyumba bia zake ili anipe kibali.
Wewe ulikutana na sheria ipi ya ajabu?
dah sijajua kwani ukiingiza dem geto mwenye nyumba anakereka utasema mashuka anakuja kufua yyKuambiwa siruhusiwi kuingiza mgeni wa kike chumbani kwangu, Wala kuingia chumba cha mpangaji wa kike ambaye hajaolewa Wala nisiwe naongea na mke wake hiyo ilikuwa kipindi Niko Chuo second year nimepanga mitaa Fulani ya keko