Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Huwa tunawaambia hawa walamba asali hawana nia na watu huwa awaelewi. Unatoza vipi kodi kitu kinachochoea uzalishaji na kutoa ajira. Mitambo, machine na magari ya biashara yangeingia free kama wangekuwa na akili, kitambo Sana tatizo la ajira lingekuwa historia.
Umeongea pointi kubwa sana
 
Mashine ya kupimia pump na injector za gari
15 milioni nakuletea ulipo.

Screenshot_20241028-204738~2.png
 
nikipata air compresor za kwenye migodi na trector.... fresh kabsa
kaongee na dotcom machinery wapo kisutu na india street. wanaweza kukusaidia ukafanya installment.
ila nakushauri ukiwa tayari ingia alibaba agiza kutoka nje tumia silent ocean kama agent.
 
Mkuu ,unaweza kutueleza garama uliyotumia kama hutojali
 
Back
Top Bottom