kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
ndio boss. na zingine zinapima nozzle hapo hapo.Habari mkuu hii huwa inatumika kupima injectors pump au siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio boss. na zingine zinapima nozzle hapo hapo.Habari mkuu hii huwa inatumika kupima injectors pump au siyo?
Nakuja inbo mkuu!ndio boss. na zingine zinapima nozzle hapo hapo.
Lezer level inafanya kazi zipi?Mm ni fundi ujenzi nachukua tenda za serikali na mtaani pia ila kazi za ujenzi ni ngumu sana na kutoboa ni hadi uwe na akili sana sasa mimi nikipata lezer level,nitaboresha kazi yangu pia nataka kuacha kazi hii nikipata power tiller hata used nauhakika kutoboa maana kilimo ndio nyumbani niboreshe mradi wangu wa kilimobiashara
Nikifaa cha ujenzi kilachoweka level chenyeweLezer level inafanya kazi zipi?
🙄Bongo miyeyusho, kuna mashine za kulimia, kule inauzwa haizidi milioni 2, ila mpaka kuifikisha hapa bongoland inagonga milioni 10 huko.
Tuunganishe nae maana jikoni ndo kila kitu mkuuzipo mkuu kuna rafiki angu alitengeneza na ilifanya kazi vizuri kabisa
Unaweka wap hiiNikipata mashine ya kufyatua Interlocking concrete blocks na Interlocking unique bricks nitakuwa bilionea in three months
Kuna sehemu mkuu pana uhitajiUnaweka wap hii
Hayo unayatengeneza hata kwa Mult purpose cooker nitafute nikupe muongozoMashine ya kutengeneza avocado cooking oil