KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Kweli kabisa....humu unaweza kupata wazo la biashara, unaweza kupata mbia wa kibiashara kwa kuunganisha mitaji, unaweza kupata sponsor wa idea yako ya biashara....yote yanawezekana.....ni kutulia tu na kuwa makini na commentsNaungana na wewe, kupitia huu uzi unaweza ukapata chochote
Hapana.Ukiweka gharama ya kusafirisha na kodi hapa nchini kupata mashine kama hii angalau uwe na kuanzia 5m
Bro this is crazy! But 100% will pay you back!Sexy dolls nkipata hii kitu mambo safi
Mahesabu yake per day unaweza kuingiza bei gani mkuu?Nikipata machine ya kutengeneza juice ya miwa tu itanisogeza
Igoogle tu inaitwa silage
Hii ni kwaajili ya ng'ombe wangu watu wengi hawajui kama ufugaji wa ngombe una hela sana, hawajui ukiwa na ngombe neno million sio kitu cha kuumiza kichwa
Ukishakua na lesen ya biashara mpya na zaman unazipata kwa uharaka mno.....!Nikipata machine ya CRDB na NMB wakala ntafurah sana.
K vip ndugu????Ukishakua na lesen ya biashara mpya na zaman unazipata kwa uharaka mno.....!
Piga namba hii 0800110036 wanaitwa Simusolar ni wauzaji wa water pump zinazotumia solar kwa mkopo.Pump ya kusukuma maji kutoka mtoni mpaka shambani nifanye kilimo cha umwagiliaji. Nipo karibu na mto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio mashine haipo dunianiMashine ya kukausha dagaa nikiipeleka visiwani nitapiga hela