luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Yeap [emoji123]Mashine ya kukausha dagaa nikiipeleka visiwani nitapiga hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeap [emoji123]Mashine ya kukausha dagaa nikiipeleka visiwani nitapiga hela
Dunia ni kubwa wewe[emoji16]Hio mashine haipo duniani
Unaenda kwenye Bank husika na hizo documents unapata mashine.....K vip ndugu????
Yeah hio nayo ni inshu ukiwa nayoMachine ya kuchonga vyuma inaitwa less machine
M na mwaka amna machine ya CRDB wala NMBUnaenda kwenye Bank husika na hizo documents unapata mashine.....
CIF yake Ni ngapi?import duty 25%
vat 18%
rdf 1.5%
zinginezo 25%
wewe dem, boya kweli.wala haichekeshi hii...poleeeee
Cheki alibaba mkuuNaiagizia wapi
M nataka hii Sokara Cooker sijuw nitapata wapiKila mtu ana ndoto ya kuwa na mradi mkubwa wa biashara.
Lakini lazima tukubali ili ufike sehemu lazima uanzie somewhere.
Kwa wajasiriamali wengi uwa tunatamani ukipata mashine au kifaa fulani basi itakufungulia milango na kukusogeza sehemu kuzifikia ndogo zako.
Mimi moja ya mashine nayotamani kuimiliki ni ya kutengeneza bahasha au vifungashio vya karatasi.
Naamini soko lake sio la kutafuta na ukishaipata mashine production yake haiitaji nguvu kazi kubwa.
Mimi nikiipata hii mashine wateja wangu watakuwa corporate nitakuwa natengeneza bahasha za barua size kubwa mpaka ndogo kabisa na nikipata tenda nitakuwa naweka na logo ya kampuni huska.
Wateja wengine ni wafanyabiashara wadogo kwa ajili ya vifungashio.
Sijajua bongo kama zinatengenezwa ila nimeshaangaika sijazipata ila ukiangiza China zinaanzia bei mil 1.5 kwa ambazo sio express wala auto.
Tutajie mashine yako unayoitamani...
View attachment 2237802
Mashine ya kutengeneza pesa
Hii ni typing error au mbona kama sijaelewaM nataka hii Sokara Cooker sijuw nitapata wapiView attachment 2241279
M nataka hii Sokara Cooker sijuw nitapata wapiView attachment 2241279
zipo mkuu kuna rafiki angu alitengeneza na ilifanya kazi vizuri kabisaHio mashine haipo duniani
Compressor, zipo mpaka za laki 5 mpaka milioni huko, kutegemea na ukubwa.Napitia nyuzi sioni wadau wanataja zile mashine za kujaza hewa matairi ya pikipiki, guta, bajaji,
Zinauzwa Bei gani zile!
Nahisi Kama nazo Ni mchongo bomba wa kijasiriamali
Bei gani hii?View attachment 2241303
ndo hii bila shaka Cheki China mkuu