Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Okay mkuu kuna mashine niliiona Alibaba inauzwa 1.5 m ila ni manual nimeitafuta tena sijaipata, hiyo niliyoweka ni sample tu wala sio halisia. Samahani sana kama imewa mislead watu wengine nitaiondoa.

Ila nimekuta hii muda huu [emoji116]

View attachment 2237794
Hiyo sio bei yake halisi, hiyo mashine ununuzi tu itakucost zaidi ya 10M. + Usafiri kama 4-5M.
 

Attachments

  • IMG_2027.jpg
    IMG_2027.jpg
    110.1 KB · Views: 67
Back
Top Bottom