Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?

Mkuu, hili swali lilijibiwa kwenye satellite TV inaitwa PEACETV na dr. Zakir Naik
 

kbosho,
mbona unajidharau bwana? Hebu soma kwa makini paragraph hii:


Jibu swali; kama muujiza ulikuwa ni mkono wa Mtume Musa kugeuka na kuwa MWEUPE kisha ukarudi kwenye rangi yake ya awali. Hiyo rangi yake ya awali ni IPI?

Upo ushahidi wa kihistoria kuwa wamisri wa mwanzo walikuwa watu weusi

How black was Ancient Egypt? | Abagond

sasa jibu maswali haya mawili;

1. wale kina dada wa MIDIAN waliposaidiwa na Musa kuteka Maji mapema kule kisimani na kisha kurejea na kumwarifu baba yao kuwa wamesaidiwa na MMSIRI MMOJA kuteka maji ina maana Musa alikuwa na muonekano GANI kama muonekano wa wamisri tangu kihistoria unajulikana?

2. sasa soma Matendo ya mitume 21:38 kisha pitia hizi slides

Why was the Apostle Paul called an Egyptian if he was not a black man

Hayo maswali mengine wenzangu watachangia majibu kama yapo
 
Last edited by a moderator:
Inasemekana Binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu, na Shetani je!, yukoje
 

Mkuu kwa mujibu wa historia ninayoijua mimi ni kuwa Wamisri walikuwa weusi na hata Musa nae alikuwa mweusi lakini ni mchanganyiko na Myahudi

Hata Yesu nae alikuwa hivyo pia!
 
Mti wa ujuzi wa mema na mabaya upo sehemu gani na je naweza kwenda kuuona.
 
1.Roho ni nini na inakaa ktk sehemu gani ya mwili?
2.Utakufa lini na saa ngapi?
3.Mvua itanzaa saa ngapi na kuisha baada ya muda gani au masaa mangapi?
4.Kiyama ni lini na saa ngapi?
 
1.Roho ni nini na inakaa ktk sehemu gani ya mwili?
2.Utakufa lini na saa ngapi?
3.Mvua itanzaa saa ngapi na kuisha baada ya muda gani au masaa mangapi?
4.Kiyama ni lini na saa ngapi?

Utapata usingizi saa ngapi, kwa nini bahari haijai maji ya mvua( wanasayansi watasema ni cycle),kwa nini kila binadam ni tofauti na mwingine( Uwezo wa Mungu huu),
 
Utapata usingizi saa ngapi, kwa nini bahari haijai maji ya mvua( wanasayansi watasema ni cycle),kwa nini kila binadam ni tofauti na mwingine( Uwezo wa Mungu huu),

kumbe kutokujaa bahari ushaambiwa ni cycle, wewe unataka jibu gani?
 
Mkuu kwa mujibu wa historia ninayoijua mimi ni kuwa Wamisri walikuwa weusi na hata Musa nae alikuwa mweusi lakini ni mchanganyiko na Myahudi

Hata Yesu nae alikuwa hivyo pia!

imeandikwa wapi hiyo historia ya wamisri, Musa na Yesu kuwa ni weusi? Source please.
 
Kuna maswali ambayo ktk hali ya kawaida hayana majibu na mara nyingi yanaonyesha uwezo na ukuu Wa m/mungu
 
Kuna maswali ambayo ktk hali ya kawaida hayana majibu na mara nyingi yanaonyesha uwezo na ukuu Wa m/mungu
if there're no answers for a particular subject then
there's a limited chance of existence of what's asked---just simple like that!
 
if there're no answers for a particular subject then
there's a limited chance of existence of what's asked---just simple like that!

How do you tell that a question has no answer as opposed to one which may have an answer that is yet to be known?

What is asked already exists, in the question.

For example, I may ask "How many degrees does a square triangle have in Euclidean geometry?"

The question is logically inconsistent since there is no "square triangle" in Euclidean geometry.

Despite that, what's asked exists, in the question.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…