Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Je mababu zetu ambao dini hawakuzijua maana hazikufika kwao wakati huo je siku ya hukumu watahukumiwa kama wenye dhambi?
 
Mungu aliumba Nuru na kisha akaumba Giza..

Kabla ya hapo kulikuwa na nini?
 
Je mababu zetu ambao dini hawakuzijua maana hazikufika kwao wakati huo je siku ya hukumu watahukumiwa kama wenye dhambi?

Rumi 2:14-16
14 Kwa maana watu wa Mataifa wasio na sheria wafanyapo kwa tabia zao yaliyo ndani ya torati, hao wasio na sheria wamekuwa sheria kwa nafsi zao wenyewe.
15 Hao waionyesha kazi ya torati iliyoandikwa mioyoni mwao, dhamiri yao ikiwashuhudia, na mawazo yao, yenyewe kwa yenyewe, yakiwashitaki au kuwatetea;
16 katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na injili yangu, kwa Kristo Yesu.
 
Kama ni Either... Or.... then huna jibu bado!

namajibu mawili

moja la uwongo lingine la kweli

ukitaka jibu hapo kaitafute hizo sehemu mbili utakuwa huru na jibu la kweli
 
Kwanini wenye nguvu wanaungana kumuangamiza mnyonge........???? Kwanini wanyonge hatushikamani pamoja kujiokoa..............??????

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
4. Who copyrighted the copyright symbol?

nadhani kabla ya bern convension 1886 baadhi ya nchi zilikuwa zimebuni alama zao za kuonyesha haki miliki. hivyo alama za haki miliki zilikuwa zaidi za moja. hizi zitumikazo sasa zipo kwenye public domain na naamini kwa ajili ya standardization wabunifu wake walisukuma serikali zao kuwa wamiliki au inawezekana serikali ndio zilikuwa wamiliki tangu awali
 
Kwanini wenye nguvu wanaungana kumuangamiza mnyonge........???? Kwanini wanyonge hatushikamani pamoja kujiokoa..............??????

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

ni amri ya shetani




ni amri ya mungu,


kwasababu gani tujiokoe ?ili iweje??TUMESHAOKOLEWA NI KUFATA KANUNI
 
Hahahahaaa! Snipa unajizonga tu!

Kama haikupotea kwanini waitafute?
Si wangeifata tu na kuichukua?

Embu nipe maana ya kupotea!


Kitu usipojua kilipo manaake kimepotea !
Ila kama kuna watu wanajua kilipo basi hakijapotea !
Ndege haijapotea !
 
Back
Top Bottom