Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

1. Ni lini CHADEMA watashika DOLA?
2. KWanini KUNGURU au samaki hana damu?
3. Imeandikwa: KUUA NI DHAMBI, lakini mbona kwanini MUNGU akikuambia "ua mtu flani" si dhambi?
4. Kuna swali (lipo kidini zaidi) atayetaka nitaliweka wazi.(litakuwa sali la 4 hili)
5. Kwanini upepo hauonekani hata kwa microscope?

2.Nchi haishikwi na saccos.
1.unashangaa samaki na kunguru je ulikuwa unajua kwamba jini hana kivuli?
3.kwanini mimba ilionje ya mfuko wa uzazi inatolewa? Kwasbb inahatarisha maisha ya mjamzito.same apply kwa mtu anaepaswa kuwawa.
4.je ulikuwa unajua kwamba pepo za kusi na kaskazi ni pumzi ya jahannam?
 
2.Nchi haishikwi na saccos.
1.unashangaa samaki na kunguru je ulikuwa unajua kwamba jini hana kivuli?
3.kwanini mimba ilionje ya mfuko wa uzazi inatolewa? Kwasbb inahatarisha maisha ya mjamzito.same apply kwa mtu anaepaswa kuwawa.
4.je ulikuwa unajua kwamba pepo za kusi na kaskazi ni pumzi ya jahannam?

nchi haishikwi inatawaliwa


je kama anacho na hukioni ?ameshanga au ameuliza?


mimba ni hali na siyo kitu


upepo si pumzi
 
the thread is not absurd,YOU ARE...
And kuna haja urudi shule ujifunze even simple terms...
Mtu anakuuliza kitu straight unakirefusha na maswali weee...
When people are debating they don't end up asking questions all the time,they answer what the other side asked,sijui unasimamia upande upi...
Usikwepeshe mada,hizi sio hisia tu,KUNA MASWALI HAYAJIBIKI DUNIANI,esp yanayomuhusu Mungu,magenius washatutangulia wakavumbua yao,leta something new acha porojo

wewe kutojua majibu ya maswali haimaanishi hayana majibu inamaanisha hujui majibu au huna uwezo wa kufikiri zaidi ukapata
 
the thread is not absurd,YOU ARE...
Hili sikatai,inawezekana

Lakini hebu niambie ni kivipi?
Ukishindwa wewendio utakuwa absurd
And kuna haja urudi shule ujifunze even simple terms...
Simple ni kitu gani?
Kwanini ni simple? [sidhani kama unaweza kujibu hii]
Mtu anakuuliza kitu straight unakirefusha na maswali weee...
Ngoja nikuambie kitu

Unapokuwa unajadiliana au ku debate jambo na mtu au watu kuwa makini sana na maneno ambayo unakuwa unayatumia na uyatumie mahali stahiki na kwasababu inayoshikika,hii tabia ya kukurupuka na kutumia tu maneno halafu ukiulizwa sababu ya kuyatumia na maana yake hujui utaonekana kituko

Hapo umeniambia kuwa unaniuliza "kitu" "stright" sijui hata kama unajua matumizi sahihi ya hayo maneno na kama ungekuwa unajua wala usingeyasema hapo

Unatia huruma sana
When people are debating they don't end up asking questions all the time,they answer what the other side asked,sijui unasimamia upande upi...
Ngoja nikusaidie jambo maana inaonekana una kichwa kigumu sana

Wewe umeuliza mahali alipotokea Mungu,hili swali lako peke yake linatosha kuonesha kuwa wewe hujui kabisa Mungu ni kitu gani kwasababu kama mungejua wala usingeuliza hili swali

Nasema usingeuliza kwasababu ukijua Mungu ni nini na uwezo wake tayari unakuwa umeshapata jibu kuwa HAKUNA alipotokea,najua kuwa kuna maswali yanaweza kuja kutokana na jibu hilo la kuwa HAKUNA alipotokea ili kuweza kuepusha maswali mengi hapo ndipo umuhimu wa kujua Mungu ni nini unapokuja

Kitendo cha kujua Mungu ni nini kinakuwa kimejibu maswali yote
Usikwepeshe mada,hizi sio hisia tu,
Sio kila mahali nilipokujibu nilijibu kutokana na kilichosemwa kwenye mada bali nilikuwa nakujibu kutokana na kile ulichokuwa unaandika na ndio maana kuna quote

Au hata maana ya quote hujui?
KUNA MASWALI HAYAJIBIKI DUNIANI,
Nilishakuonesha upuu.zi ulioko kwenye hii kauli yako huko juu na ndio maana nikasema hii thread ni absurd kwakuwa inafanana na na hii kauli yako

Nilikuambia kuwa unawezaje kujua swali fulani halijibiki?
Hata kama likiwa "halijibiki" leo bado haina maana kuwa "halijibiki",unaelewa?

Lakini pia hata kama niki assume kuwa sentensi yako iko kweli,yaani inasema kweli,hivi nani mjing.a,yule anaeuliza swali ambalo YEYE anajua kabisa halijibiki au yule ambae ameshindwa kujibu swali "lisilojibika"?
esp yanayomuhusu Mungu,magenius washatutangulia wakavumbua yao,leta something new acha porojo
Inaonekana unachanganya mambo

Tofautisha kukosa majibu na kushindwa kujibika,hayo ni mambo mawili tofauti kabisa

Miaka ya 70 kulikuwa na magonjwa ya zinaa yaliyokuwa hayana dawa wakati ule,je ni sahihi kusema kuwa magonjwa yale yalikuwa "hayatibiki" au hayakuwa yamepatiwa dawa nyakati zile?

Nilikuambia kuwa jaribu kuwa makini na mamneno unayotumia,kutokujibika na kukosekana majibu kwa wakati huu hayo ni mambo mawili tofauti[japokuwa sijaona swali linalomhusu Mungu lililokosa majibu kwa wakati huu]

Hebu changamsha ubongo wako vizuri binti!
 
Upepo una rangi gani?

Mate yana ladha gani?

Mapenzi yana utamu gani?

Roho ina uma...inaumaje?
 
Upepo una rangi gani?

Mate yana ladha gani?

Mapenzi yana utamu gani?

Roho ina uma...inaumaje?

ushawahi kuona rangi yake tukusaidie jina

umejuaje mate yanaladha?


utamu ni ladha je mapenzi ni nini?tuanzie hapa.


Unaijua roho?
 

Hakuna kiumbe aliewahi kupewa uhai bila kutumia design ambayo Mungu ameiunda! Maana wangeweza kuzuia kifo kisiwepo Lakina hata Sir Isaac Newton mtaalam wa Physics RIP , Dr Kairuki Mtaalam wa magonjwa ya uzazi RIP . Wote tutakufa tu, mpaka masiha arudi.!
 
Hakuna kiumbe aliewahi kupewa uhai bila kutumia design ambayo Mungu ameiunda! Maana wangeweza kuzuia kifo kisiwepo Lakina hata Sir Isaac Newton mtaalam wa Physics RIP , Dr Kairuki Mtaalam wa magonjwa ya uzazi RIP . Wote tutakufa tu, mpaka masiha arudi.!

Hiyo dizaini ina roho ndani ?mfano 'seli'
 
the thread is not absurd,YOU ARE...
And kuna haja urudi shule ujifunze even simple terms...
Mtu anakuuliza kitu straight unakirefusha na maswali weee...
When people are debating they don't end up asking questions all the time,they answer what the other side asked,sijui unasimamia upande upi...
Usikwepeshe mada,hizi sio hisia tu,KUNA MASWALI HAYAJIBIKI DUNIANI,esp yanayomuhusu Mungu,magenius washatutangulia wakavumbua yao,leta something new acha porojo

wewe kutojua majibu ya maswali haimaanishi hayana majibu inamaanisha hujui majibu au huna uwezo wa kufikiri zaidi ukapata
 
Back
Top Bottom