Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?


Evidence???
 
Mungu hakuzuia dhambi ili kupima imani ya wanadamu kwake.Mungu aliupenda ulimwengu,je na wanadamu watampenda Mungu au wataupenda ulmwengu?

Na kwanin wanyama wasingepewa utashi kama wa binadamu?
 
1. Kwa nini viumbe tunatofautiana/tunazidiana kwa mambo mbalimbali hata tukiwa wa jamii moja?
 
je shetani na Mungu wanasaidiana kazi. Si Shetani anamsaidia Mungu kujua watu wa Mungu ni wapi na wa kwake ni wapi kama ilivyo mtihani na mwalimu. je huko si kusaidiana kazi. Pia rejea kisa na AYUBU na shetani na Mungu katika biblia.
 
Kwanini asilimia kubwa ya waafrika ni wajinga? Yani ndio maskini wa dunia kwenye ardhi tajiri kuliko zote duniani.
 
yako mengi sana ila hili hata mkulu wetu lilimshinda.. KWANINI TANZANIA NI MASIKINI
 

hujamjibu ila umeonesha kumdharau sidhani km na wewe unamajibu ya hayo maswali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…