MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
uoga wa maisha ndio chanzo kikuu cha moyo kudunda
Udhaif haujalishi jinsia.Kati ya mwana mke na mwana mume nani ni kiumbe dhaifu???
Itabidi iondoke na other neighbour planets, moons and asteroids etc. Itaelekea upande motion yake inapoelekea kwa space haina boundary itaendelea na movement mpaka pale itakapo-collide na other bodies au kumezwa na black holes.1.Ikiwa duniabitapata kuangushwa kutoka kwenye obit yake,je itadondokea wapi,nini kitatokea.
2.Ikiwa nisingeitwa jina nililonalo,ningekuwa nani au maisha yangu yangekuwaje??
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
1.Kabla ya kuzaliwa nilikuwa wapi...?? Na kwanini nikifa nisirudi kule nilipokuwa badala yake naenda peponi au motoni..
2.Kama dunia ni circle, na mbiguni ni juu je bara lipi ambalo juu yake ndio kuna mbingu..?
3.Je nimezaliwa kwa kusudi au bahati nasibu?kama siku ya tendo baba yangu aliproduced about millions of sperm na kila sperm ingetoa mtu tofauti na mimi, je wale wengine wanamakosa gani..Hawakuwa na bahati au kusudi la kuhishi duniani?Kwanini?
ngoja nisomee vizuriUdhaif haujalishi jinsia.
Ni yule anayekuwa kifuani kwa mwenzake, akipewa starehe na faraja, kisha huanza kulia!
Kulia bila kuumizwa, tena kwa kupewa 'mema' ni udhaifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzoni nikajua umetoka wu honeyItabidi iondoke na other neighbour planets, moons and asteroids etc. Itaelekea upande motion yake inapoelekea kwa space haina boundary itaendelea na movement mpaka pale itakapo-collide na other bodies au kumezwa na black holes.
Changamoto kubwa itakuwa kwa viumbe hai, kwani ndio utakuwa mwisho wake. Chochote kinachokwenda karibu na jua kinaungua na chochote kinachoenda mbali na jua kitaganda....
Uzuri ni kwamba nothing kwenye space kipo stationary.
______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
alafu ukishazaliwa unaanza kutishwa ooh kuna jehanam oh kuna iki kuna kile...wtf kwa nn nisingeambiwa kabla ili niamue kama nikubali au niskubali kuzaliwaKwa nini hawakuniomba ruhusa ya mimi kuzaliwa?Yaani unazaliwa bila ruhusa yako?
Mungu hakuumba dini
alafu ukishazaliwa unaanza kutishwa ooh kuna jehanam oh kuna iki kuna kile...wtf kwa nn nisingeambiwa kabla ili niamue kama nikubali au niskubali kuzaliwa
roho ikoje?
Duniani hakuna dhambi !
a BIG YESNo.......
Mdundiko
vp mkuuMmmh
Swali hapo ni moja tuMfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?