Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu aliumba Ulimwengu,Mungu aliumbwa na nani?
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.
2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?
3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
"Kukubali" ni nini?
Unajua maana yake?
Kuhangaika ni nini?
Unajua maana yake?
Complicationa ndio nini?
Kwanini isiwepo?
Unajua Mungu ni nini?
Ni idadi gani ya matonge ya ugali unayoshiba? Ushawahi kuhesabu idadi ya matonge unayokula na kushiba?
Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?