Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Nani alianza kati ya kuku na yai,ukinijibu una hella yako sahv
 
Nani alianza kati ya kuku na yai,ukinijibu una hella yako sahv

Hii.mbona cmple sana...alianza kuku kwa sababu ili yai litotolewe lazma liwe limeatamiwa kwanza...kwa hyo nilazma pawe na kuku kwanza ndipo yai liwe nauwezo wa kutoa kuku
 
1. Ni nini siri ya uwezo na utawala wa mwanadam?
2. Je ni nani anawaweka watawala?
3. Je anga lina mwisho na je uwo mwisho ni km ngapi kufika?
4. Uwepo wa nguvu ya ajabu ktk kila muundo wa sayari yetu je hiyo nguvu inatoka wapi?
5. Siri ya hewa ya oxgen na uhai wa mwanadam vinashabianaje kwa nini mwanadam asitumie co ili aishi?
6. Ni nini siri ya akili za mwanadam na maendeleo?
 
Kwann sisiem aitaki kumwachia madaraka maalim,,,kwann jecha asinyongwe
 
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?

▪ ?Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, mke wa Kaini alitoka wapi?? Ingawa mara nyingi wachambuzi wa Biblia huuliza swali hilo ili tu kuwavuruga watu, Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa.
Katika tunapata habari zifuatazo: (1) Hawa alikuwa ?mama ya kila mtu anayeishi.? (2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu. (3) Baada ya kufukuzwa na kuwa ?mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,? Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ?mtu yeyote akakutana naye? na kujaribu kumuua. (4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. (5) ?Baadaye? Kaini alilala na mke wake ?katika nchi ya Ukimbizi.?? .
Kutokana na habari hizo, tunaweza kusema kwamba mke wa Kaini, ambaye haijulikani alizaliwa wakati gani, alikuwa mzao wa Hawa. Andiko la linasema kwamba katika miaka 930 ambayo Adamu aliishi, ?alizaa wana na mabinti.? Bila shaka, Biblia haisemi waziwazi kwamba mke wa Kaini alikuwa binti ya Hawa. Hata hivyo, kwa kuwa mke wa Kaini anatajwa baada ya Kaini kufukuzwa, jambo hilo linaonyesha kwamba wakati wa kutosha ulikuwa umepita na angeweza kuwa mmoja wa wajukuu wa Adamu na Hawa. Kwa hiyo, tafsiri ya Biblia The Amplified Old Testament inasema tu kwamba mke wa Kaini alikuwa ?mmoja wa watoto wa Adamu.?
 
Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?

umesema hashindwi chochote alafu atengeneze tena jiwe ashindwe kulibeba (ameshindwa tena ) swali lako limekinzana boss
 
▪ ?Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, mke wa Kaini alitoka wapi?? Ingawa mara nyingi wachambuzi wa Biblia huuliza swali hilo ili tu kuwavuruga watu, Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa.
Katika tunapata habari zifuatazo: (1) Hawa alikuwa ?mama ya kila mtu anayeishi.? (2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu. (3) Baada ya kufukuzwa na kuwa ?mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,? Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ?mtu yeyote akakutana naye? na kujaribu kumuua. (4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. (5) ?Baadaye? Kaini alilala na mke wake ?katika nchi ya Ukimbizi.?? .
Kutokana na habari hizo, tunaweza kusema kwamba mke wa Kaini, ambaye haijulikani alizaliwa wakati gani, alikuwa mzao wa Hawa. Andiko la linasema kwamba katika miaka 930 ambayo Adamu aliishi, ?alizaa wana na mabinti.? Bila shaka, Biblia haisemi waziwazi kwamba mke wa Kaini alikuwa binti ya Hawa. Hata hivyo, kwa kuwa mke wa Kaini anatajwa baada ya Kaini kufukuzwa, jambo hilo linaonyesha kwamba wakati wa kutosha ulikuwa umepita na angeweza kuwa mmoja wa wajukuu wa Adamu na Hawa. Kwa hiyo, tafsiri ya Biblia The Amplified Old Testament inasema tu kwamba mke wa Kaini alikuwa ?mmoja wa watoto wa Adamu.?
 
Back
Top Bottom