Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
elimu yako ya la saba kumbe unansumbua tula kuku au la bata
Nimeamua kujusumbua baada ya kujipendekeza kujibu swali, kwa taarifa yako naelewa kuhusu ovum, falopian tube, uterus, umbillical cord mpaka mengine ambayo wewe wewe huyaelewielimu yako ya la saba kumbe unansumbua tu
MelkzedekiMbinguni kuna wenye uhai 4 wanaomwimbia Mwokozi; Msaada
1. Yesu Kristo?
2. Eliya,
3. Henoko,
4. ...................... msaada please.
Uchawi ulianza liniMilele maana yake NI KUTOKOMA AMA KUTOKUWA NA MWISHO...
Ww itakusaidia nn kama ukishajua inatusaidia nn kupata majibu??vyote mkipata majibu itawasaidia nini
Kwa nini upo DUNIANI?🙂Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
number 1..kasome theory ya prof Aljezera ,environmentalism theory (geogrephica thought) utapata majibu ya hyu professor.1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.
2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?
3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
Hili linajibika mbona. Baba anaweza kulijibu labda kama sio makini na sio mzoefu3: Mimba yako ilitungwa mda gani?
Usikurupuke wewe!! Hata biblia husomi unaropoka tu!! Mungu kukulaani sio lazima utukanie kanisani, take care fikiri kwa kinaMasiala tena? Kwan maandiko yanasemaje mkuu kuhusu shetan na mungu?
Wlizaa na watoto wa kike tena wengi tu ila enzi hizo watoto wa kiume pekee ndo walikuwa wanahesabiwa na kuandikwa kwenye Biblia ni mpaka ulikuwa na history yaani kitu ulichofanya mpaka uandikweMungu aliwaumba Adamu na Eva ambao wakawazaa Kaini na Abeli.
Mbona watu waliendelea kuzaliana wakati kaini na abel walikuwa wanaume?
Basi ina maana kulikuwa na watu wengine zaidi ya kaini na abeli walokuwepo
Mbona hatujaambiwa watoto wengine?
Ila watu ni wajinga sikapata kuona. Mungu anahaririwa kuanzia lin!!Kama biblia iliyoandikwa ni neno la Mungu....basi kuna Muhariri wa kitabu ambae ana akili kuliko mtunzi....???
Biblia haija haririwa?Ila watu ni wajinga sikapata kuona. Mungu anahaririwa kuanzia lin!!
Sio kama vinavyohaririwa vitabu vya hadithi kuanzia wahusika umewaumbaje mpaka maudhui ys stori yako. Biblia haina kitu kama hicho ila wanahariri uchapaji ambao umefanywa na binadamu pasipo kukosoa, kupunguza wala kuongeza neno.Biblia haija haririwa?
Mtetezi huyo kama vijana wa Lumumba na chama dola.maswali yako huwa YANANIBOA sana jmn,hapo sasas hujaelewa nini?unaniuliza tena Mungu ni nini wakati nishauliza na sijui katokea wapi....
What is ur objective labda?mana sio mara ya kwanza na sio kwangu tu