Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,300
Akitokea wapi?Hilo linajibika. Kuku ndio alitangulia.
Dawa ya moto ni moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akitokea wapi?Hilo linajibika. Kuku ndio alitangulia.
Dawa ya moto ni moto
alizaa na Majitu. kuna viumbe walikuwa wanaitwa majitu1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.
2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?
3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
Aliumbwa.Akitokea wapi?
Sheria zilianza pindi tu binadamu alipoumbwa .Sheria na nchi kilianza nini?
Kwa sababu akili za watoto kama za wanyama tuKwanini hadithi za watoto mara nyingi zinakuwa zinahusu sana wanyama?
Shida inakuwa imeisha daaah nakojoaaaaaaaaaaaaKwanini mwanaume akishakojoa anatamani hata kumfukuza mwanamke?
Kwani wanyama akili zao zikoje?Kwa sababu akili za watoto kama za wanyama tu
Nini chanzo cha giza kwenye universeMfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Nywele zinaotaje hasa za kule chini zinajuaje kama sasa tuanze kutoa huyu mtu ameshapevuka
Wanyama hawana akili ni instincts tuuKwani wanyama akili zao zikoje?
ana dharau kwanza.unajitia machi know wewe,as if u know everything....ila in real sense U DONT KNOW EVERYTHING,kwani maswali yako ndo measure ya uelewa wangu?????kama huna majibu ya maswali yangu basiii...kuuliza si ujinga,nimeuliza cause nimeshindwa kupata majibu,wewe kuniuliza juu ya hapo hunisaidii,na kuanza kuchambua my statuo quo that sielewi nnachouliza ndo kabisaaa ur making me question ur reasoning ability......
ilo swali hakuna ataweza kukujibu popote pale hata NASA hawaweziBaada ya ujazo wa ulimwengu wote kule mnakoita blackhool mwisho wake ni wapi
sijamuelewa,blackhool ndio niniilo swali hakuna ataweza kukujibu popote pale hata NASA hawawezi