Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
alizaa na Majitu. kuna viumbe walikuwa wanaitwa majitu
 
unajitia machi know wewe,as if u know everything....ila in real sense U DONT KNOW EVERYTHING,kwani maswali yako ndo measure ya uelewa wangu?????kama huna majibu ya maswali yangu basiii...kuuliza si ujinga,nimeuliza cause nimeshindwa kupata majibu,wewe kuniuliza juu ya hapo hunisaidii,na kuanza kuchambua my statuo quo that sielewi nnachouliza ndo kabisaaa ur making me question ur reasoning ability......
ana dharau kwanza.
 
Back
Top Bottom