Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
HAHAAAAAMungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
ni kama tundu kubwa lililopo angani mbali sana hakuna kitu kinaweza fika hapo..sijamuelewa,blackhool ndio nini
ni kama tundu kubwa lililopo angani mbali sana hakuna kitu kinaweza fika hapo..
Tazama video hii
3: Mimba yako ilitungwa mda gani?
Majibu ya maandishi haya soon or laterMungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
hahahah shida ni kwamba ujatazama video.Sasa kama hakuna kitu kinaweza fikapo sasa hiyo picha wewe umeitoa wapi?
Hyo unayofanya ni nini?
Universe sio infinity ...chenye mwazo kina mwisho universe inapanuka kwa speed ya ajabu but it has an enduniverse is infinity!!
Nadhani alienda kijiji jilani.1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.
2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?
3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?