Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?

Hiki ndio kinachotokea baada ya MTU kufa
IMG_20180307_165113.jpg
IMG_20180221_014158.jpg
IMG_20180221_012712.jpg
 
wanasema dunia ni sayari inayojizungusha ktk mhimili wake.!!sasa ikitokea huo mhimili ukavunjika dunia itaangukia wapi??
 
At when second,conscious mind get into subconscious state of mind(sleeping)????
 
Ulishawahi kufikiri vipi kama kungekuwa hakuna Dunia wala Ulimwengu wala nyota wala Sayari...??

Vipi kama kusengekuwepo Mungu wala Mbingu wala malaika...?

Yani vipi kama kusengekuwepo chochote kile....??
 
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
Nadhani alienda kijiji jilani.
 
Kwa nini MTU akiongea kiingereza anaonekana mjuvi wa mambo na mwenye ilmu kubwa...

Je ni sawa kupima IQ ya mtu kwa ujuvi wa lugha?
 
Messi ni binadamu??

Swali gumu sana hili,halina majibu


[HASHTAG]#still[/HASHTAG] messi is better than ronaldo#
 
Back
Top Bottom