Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

i like number 14
14.mbona majibu yapo kwnza yenyewe inajieleza 'unamiliki kipande cha ardhi'
Mengine siyo yako
madini,bahari,mito na mengine yapo chini ya mamlaka inayokuongoza

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
Je,Adam aliumbwa akiwa mtoto mdogo au alikua mtu mzima?
Je,maji na hewa Duniani ni kipi kingi kuliko kingine?
Je,ni kweli watoto wanaongea na Malaika?
 
Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
Hahaha
Mkuu hapa tatizo ni akili yako maaana tukisema ndio maana yake anaweza kufanya hivyo,tatizo litakuja pale utakaposema mungu hawezi kubeba jiwe.
Ila jaribu kwanza kuelewa kuwa Mungu anaweza mpaka kutokuweza.Samahan kama nimekuchanganya maan kitu chenyewe kimechanganyika hivyo hivyo mkuu
 
Swali about ramadhan fasting : nimekuwa kwny funga then nikaj sahau nikala mihogo/viaz au chochote chenye kukaba nikakabwa na ninacho kula as nataka kunywa maji ndo nakumbuka kuw nimefunga ,je nikinyw maj ntakua nimefungua au naendelea na funga yangu? , #suwmuntaswihu.
 
1.Kabla ya kuzaliwa nilikuwa wapi...?? Na kwanini nikifa nisirudi kule nilipokuwa badala yake naenda peponi au motoni..
2.Kama dunia ni circle, na mbiguni ni juu je bara lipi ambalo juu yake ndio kuna mbingu..?
3.Je nimezaliwa kwa kusudi au bahati nasibu?kama siku ya tendo baba yangu aliproduced about millions of sperm na kila sperm ingetoa mtu tofauti na mimi, je wale wengine wanamakosa gani..Hawakuwa na bahati au kusudi la kuhishi duniani?Kwanini?
 
Swali about ramadhan fasting : nimekuwa kwny funga then nikaj sahau nikala mihogo/viaz au chochote chenye kukaba nikakabwa na ninacho kula as nataka kunywa maji ndo nakumbuka kuw nimefunga ,je nikinyw maj ntakua nimefungua au naendelea na funga yangu? , #suwmuntaswihu.
Wanakuja
 
1.Kabla ya kuzaliwa nilikuwa wapi...?? Na kwanini nikifa nisirudi kule nilipokuwa badala yake naenda peponi au motoni.. ( nani kasema


2.Kama dunia ni circle, na mbiguni ni juu je bara lipi ambalo juu yake ndio kuna mbingu..?(unAongelea dunia,cicrle,mbingu au bara???/

3.Je nimezaliwa kwa kusudi au bahati nasibu?kama siku ya tendo baba yangu aliproduced about millions of sperm na kila sperm ingetoa mtu tofauti na mimi, je wale wengine wanamakosa gani..Hawakuwa na bahati au kusudi la kuhishi duniani?Kwanini? Swali gumu hatarii
 
1. If all the nations in the world are in debt (am not joking, even US has got debts), where did all the money go?

2. When dog food is new and improved tasting, who tests it?

3. What is the speed of darkness?

4. Who copyrighted the copyright symbol?

5. Can you cry under water?

6. Do fish ever get thirsty?

7. Can you get cornered in a round room?

8. Why do birds not fall out of trees when they sleep?

9. What came first, the fruit or the color orange?

10. Can you blow a balloon up under water?

11. Why is it called a "building" when it is already built?

12. If you were traveling at the speed of sound and you turned on your radio would you be ! able to hear it?

13. If you're traveling at the speed of light and you turn your headlights on, what happens?

14. If a person owns a piece of land do they own it all the way down to the core of the earth?

15. Where are all the big magma chambers that could produce super-eruptions?
Duuu number eight ni noma!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine watajibu,Mungu hajaribiwi.hivyo hawez kujijaribu.pia hapendi ujinga,hivyo hawezi kufanya kitu cha kijinga kwani hilo jiwe litakuwa la kazi gani??

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
Jiwe la nini? La kupigia wakorofi! Wabongo vichwa maji! kama Jiwe mwenyewe!
 
Back
Top Bottom