ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kwanini Mungu aliumba jinsia? kwanini asingeumba ya tatu?
Kwanini aiumbe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Mungu aliumba jinsia? kwanini asingeumba ya tatu?
Eiyer em save everybody's time including yours,lets get down and discuss facts hii mambo una question kila kitu weeee is no getting boriiing andstooping you so low,mana not every question is answered by a question,some need REAL ANSWERS,stop meandering,jibuu,kama hujui usituchoshe
swali langu kukosa jibu,means linaendana na mada husika,upo hapoo...
hahhaha u really make me lol,hivi kwani kujibu maswali yako ndo njia ya kujibu yangu?kama unajua jibu why can't you save time and get straight to the point,??UR MEANDERING,coz hujuiiiii jibuuuu,bali una mlolongo wa maswali yasiokuwa na tija....Umeshindwa kujibu nilichokuuliza ili upate majibu unayoyatafuta unategemea nini?
Endelea kudhani mwezi ni jua!
Unaongelea "Fact" unaijua wewe?
Maana unaweza kudhani "hii" ni fact kwasababu huijui fact ni kitu gani,hapo ndipo nalazimika kukuuliza kama unajua fact ni kitu gani
Hebu niambie!
Hebu niambie uwezo wa Mungu
Hapa ndipo tatizo linapoanzia
Unapotaka kueleweshwa kuhusiana nausichokijua ni lazima ukubali kutokujua
Nilikuambia kuwa huwezi kuuliza Mungu alikoanzia kama unamjua
Wewe ukaja na kusema unamjua,nimekuuliza maswali ili nipate uhakika kuwa unamjua matokeo yake hujibu
Utawezaje kutaka kujua mwanzo wa kitu wakati hutaki kujibu kama unakijua hicho unachotaka kukijua
Kujua kitu ndio kutakufanya ujue kama kina mwanzo au laa,
kama hilo hilijui basi utakuwa na kazi kubwa sana ya kufika huko unakotaka kwenda
Mkuu hata wewe hujui hili?
Kama hujui hilo basi hutaweza kumjua Mungu achilia mbali kupata majibu ya unachotaka kujua!
hahhaha u really make me lol,hivi kwani kujibu maswali yako ndo njia ya kujibu yangu?kama unajua jibu why can't you save time and get straight to the point,??UR MEANDERING,coz hujuiiiii jibuuuu,bali una mlolongo wa maswali yasiokuwa na tija....
Do u think maswali yote yanajibiwa kwa maswali??em na me atleast for once nijibu hili swali u'feel how irritating ur questions can get
em niambie 'fact' ni nini kwa uelewa wako?tit for tat is quite a fair game
Aiseee!!!!!
Ufahamu hauigwi bali unajifunza
Unaiga na visivyoigwa
Kuuliza swali ni rahisi sana lakini kujua kama swali lako litakusaidia chochote na uelewe kile ambacho unataka kuelewa ni kazi kubwa
Nimekuuliza kama unajua fact ni kitu gani kwakuwa wewe ndie ulisema "tuongelee fact" na sio mimi na nikakuambia lengo la kukuuliza kama unajua fact ni kitu gani,unakuja kuniuliza tena mimi fact ni kitu gani
Unashangaza sana
Acha kuiga vitu usivyovielewa binti!
jehanamu kukoje?
je maswali yote yanajibiwa kwa maswali??tuanzie hapo
kwa kifupi eiyer anamaanisha hujui unachouliza unaropoka
hahhaha u really make me lol,hivi kwani kujibu maswali yako ndo njia ya kujibu yangu?kama unajua jibu why can't you save time and get straight to the point,??UR MEANDERING,coz hujuiiiii jibuuuu,bali una mlolongo wa maswali yasiokuwa na tija....
Do u think maswali yote yanajibiwa kwa maswali??em na me atleast for once nijibu hili swali u'feel how irritating ur questions can get
whats so funny
Kinachokuwa na uwezo wote maana yake hakina ukomoNilifundishwa mungu ana uwezo, wote upendo wote, mkamilifu n.k
Sasa utatakaje kujua mwanzo bila kumjua?Nahisi hukunielewa mkuu, hakuna sehemu nimesema namjua mungu, ila nilikwambia nimewahi jifunza kuhusu mungu wa biblia, lakini hakuna aliyethibitisha kwamba yupo katika hayo mafundisho.
Nenda kamjue kwanza halafu ndio uulize kama ana mwanzoNarudia tena hakuna sehemu nimesema namjua mungu. Nilikwambua nimewahi jifunza kuhusu mungu wa biblia a.k.a jehovah
Sio kweli na nimeshakueleza sababu huko juuNa kujua mwanzo wa kitu ndio chanzo cha kukijua hicho kitu vilevile.
Aiseeeee .......Narudia tena , kujua chanzo cha kitu ni hatua mojawapo ya kikijua hicho kitu
Swali mni maelezo yanayotolea na mtu kuonesha uhitaji wa kujua jambo lililoko kwenye maelezo husika ambayo huitwa swaliNini maana ya swali?
Niseme mara ngapi kuhusiana na hili?We hapa ndo hujui , unapoulizwa swali jibu swali usianze kuzunguka